Nimnunulie zawadi gani ya valentines

Nimnunulie zawadi gani ya valentines

JosephNyaga

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2014
Posts
291
Reaction score
232
Sio mke wangu bado ni ule uchumba wa mwanzo tu. Naombeni mawazo yenu nimchukulie zawadi gani mpenzi wangu huyu ili kuonyesha kumjali kwa siku muhimu kama hii. Bajeti yangu ni sh 30,000/=
 
Mkuu bajeti yako ni hela ya kusuka

Mpe akasuke kesho aende kanisani...
 
  • Thanks
Reactions: waj
Zinapatikana wapi na sh ngapi? Zinafanana na ile minyororo ya mbwa?


Hayo ya minyororo ya mbwa utajua mwenyewe!!
Zinapatikana maduka ya urembo wa kike hereni cheni au nenda kwa sonara aliyekaribu nawewe
 
Ushauri tu... kila mwisho wa mwezi muwekee utaratibu wa kumpa laki2... awe anafanya kazi au kula kulala wewe mpe tu kila mwisho wa mwezi...
 
Sio mke wangu bado ni ule uchumba wa mwanzo tu. Naombeni mawazo yenu nimchukulie zawadi gani mpenzi wangu huyu ili kuonyesha kumjali kwa siku muhimu kama hii. Bajeti yangu ni sh 30,000/=
Kwa vile hiki ni kipindi cha kwaresma mnunulie bible yenye cover ya ngozi nzuri sana na hakika itakuwa kumbukumbu nzuri sana kwake
 
Kwann usifanye ikawa nauli ya kumpeleka kwenu kumtambulisha? ?...coz n ndogo sana
 
Kwanini usimnunulie nanilii.....pombe na bange
 
Back
Top Bottom