Nimnunulie zawadi gani ya valentines

Nimnunulie zawadi gani ya valentines

Sio mke wangu bado ni ule uchumba wa mwanzo tu. Naombeni mawazo yenu nimchukulie zawadi gani mpenzi wangu huyu ili kuonyesha kumjali kwa siku muhimu kama hii. Bajeti yangu ni sh 30,000/=
Mnunulie kipande cha muwa, akiutafuna ule utamu atakukumbuka Daima. Ukimnunulia cheni ya kiunoni utakuwa umewanunulia na waume wenzio.....maana wapo. Tunaishi katika nyakati tete sana.
 
Mtafutie nguo ndogo zile zenye kikamba cha katikati,atavaa mwaka mzima kwa hyo bajet na hakika mtainjoy sana
 
MKUU BAJETI YOTE YA NINI HIYO?
mimi nakushauri kama bado haujawahi kusex nae basi usimnunulie nguo za ndani (hii ni kwa wale walokole)

bali mnunulie pedi kama haujawahi kumnunulia,
unajua unaweza ukamnunulia nguo ya ndani na asiivae cuz bado haujawahi kuziona nguo zake za ndani anazopendelea kuzivaa,
na unaweza ukamnunulia uwa na asilipende au labda alishawahi kupewaga mauwa mengi hivo hatokuona wa pekee,,
unaweza ukamnunulia msosi akawa ameshiba au akawa haupendi ivo akawapa watu wengine waule,
LAKINI HAKUNA MWANAMKE ALIYEKAMILIKA AMBAE HATUMII PEDI,
Hatakama ataiweka ila ipo siku ataitumia tu.
skiza, wanawake wanapenda sana mtu anayejua kuwajali,
hivo ukimnunulia baadhi ya vitu utamfanya akuone wapekee zaidi cuz ni zawadi adimu kuipokea.
Na atakuona unamjali zaidi.

Au Kama hiyo njia ulishawahi kuitumia SEMA NIKUPE NYINGINE,
ZIPO ZAWADI NYINGI NA VIPO VITU VINGI SANA AMBAVYO UKIMFANYIA MWANAMKE ATAKUONA WAPEKEE,
mapenzi ni ubunifu mkuu.
 
1455369608059.jpg

Hii vepe[emoji12]
 
Nakushauri hako kahela mtumie mama (mzazi) nyumbani
 
Sio mke wangu bado ni ule uchumba wa mwanzo tu. Naombeni mawazo yenu nimchukulie zawadi gani mpenzi wangu huyu ili kuonyesha kumjali kwa siku muhimu kama hii. Bajeti yangu ni sh 30,000/=
"Chukua 10,000/= Nunua Box la Condom ili awage anajikinga na mchepuko wake ili asi kuue"
 
Kodi tax au bajaj (kama huna gari) then kamtambulishe kwenu.
 
Back
Top Bottom