Nimkopeshe elfu hamsini.

Nimkopeshe elfu hamsini.

Elfu hamsini unamwandikia na Uzi? ...... ukiambiwa ulipe kodi ya Nyumba na Junuary hii si utamweka kwenye Billboards kabisa. Hivi Wanaume wa Kizazi hiki mmekuja kuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app

Nawaasa wanaume wenzangu wote hakuna cha bure. Bado tuna ndoto za mapenzi ya kweli eti demu kanihusudu/ kanidondokea aaah wapi. Kama umemtongoza mwenyewe lazima akutest kwanza waweza mtunza? Km huna hata alfu 50 sasa wawezaje kuwa msaada kwake? atakuamini vipi? Akugee miwili wale wewe hata 50 ya sabuni? Mimi siungi mkono sana malalamiko yetu haya ya kukimbia invoice Sababu. Kwanza umekutana na Mwanamke kitaa sijui wapi hakujui vizuri wewe unaomba nafasi ya mgegedo wengine kusema no hawawezi kwa hiyo anakutafutia kitu cha kukufukuzisha. Anakupiga mzinga wa haja anajua haurudi na ukirudi atatafuna mpunga wako weee mpaka unaomba RB central. Mwingine test yake ya kumjali kwake ndo hiyo je huyu mtu nikiwa nae atanitunza kweli? atanijali? So kirungu ndo kipimo halisi . N.a. kuna wale wafanyabiashara kabsaaa nipe nikupe. Mdau kumpata demu wa maana ni gharama. Wanaume hawasemi tu lkn akipenda kitu atahonga mpaka kitanda cha urithi
 
Nawaasa wanaume wenzangu wote hakuna cha bure. Bado tuna ndoto za mapenzi ya kweli eti demu kanihusudu/ kanidondokea aaah wapi. Kama umemtongoza mwenyewe lazima akutest kwanza waweza mtunza? Km huna hata alfu 50 sasa wawezaje kuwa msaada kwake? atakuamini vipi? Akugee miwili wale wewe hata 50 ya sabuni? Mimi siungi mkono sana malalamiko yetu haya ya kukimbia invoice Sababu. Kwanza umekutana na Mwanamke kitaa sijui wapi hakujui vizuri wewe unaomba nafasi ya mgegedo wengine kusema no hawawezi kwa hiyo anakutafutia kitu cha kukufukuzisha. Anakupiga mzinga wa haja anajua haurudi na ukirudi atatafuna mpunga wako weee mpaka unaomba RB central. Mwingine test yake ya kumjali kwake ndo hiyo je huyu mtu nikiwa nae atanitunza kweli? atanijali? So kirungu ndo kipimo halisi . N.a. kuna wale wafanyabiashara kabsaaa nipe nikupe. Mdau kumpata demu wa maana ni gharama. Wanaume hawasemi tu lkn akipenda kitu atahonga mpaka kitanda cha urithi
Tell them Bro!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaasa wanaume wenzangu wote hakuna cha bure. Bado tuna ndoto za mapenzi ya kweli eti demu kanihusudu/ kanidondokea aaah wapi. Kama umemtongoza mwenyewe lazima akutest kwanza waweza mtunza? Km huna hata alfu 50 sasa wawezaje kuwa msaada kwake? atakuamini vipi? Akugee miwili wale wewe hata 50 ya sabuni? Mimi siungi mkono sana malalamiko yetu haya ya kukimbia invoice Sababu. Kwanza umekutana na Mwanamke kitaa sijui wapi hakujui vizuri wewe unaomba nafasi ya mgegedo wengine kusema no hawawezi kwa hiyo anakutafutia kitu cha kukufukuzisha. Anakupiga mzinga wa haja anajua haurudi na ukirudi atatafuna mpunga wako weee mpaka unaomba RB central. Mwingine test yake ya kumjali kwake ndo hiyo je huyu mtu nikiwa nae atanitunza kweli? atanijali? So kirungu ndo kipimo halisi . N.a. kuna wale wafanyabiashara kabsaaa nipe nikupe. Mdau kumpata demu wa maana ni gharama. Wanaume hawasemi tu lkn akipenda kitu atahonga mpaka kitanda cha urithi
Asante kwa mchango wako chief
 
Siku hizi wajanja anajua akishakupa mzigo tu unasepa, bora ale vyako mapema.
 
Shida wapi chief, ila asante kwa mchango wako
Wewe si umkopeshe Kama ulivyoombwa? Labda Kama hauna hilo ni jambo lingine. Tatizo unajishtukia ukute yupo serious atarudisha
 
Wewe si umkopeshe Kama alivyoombwa? Labda Kama hauna hilo ni jambo lingine. Tatizo unajishtukia ukute yupo serious atarudisha
Wee mponzee tu mwenzako..!!

Mwambie aje aifatee getoooo.. ilaa ukimpa afu ukamgegeda jua ndo mshalipana..
Je ana chanzo cha mapato??? Hiyo hela anafanyia nini??? Usijemkopesha kumbe kwa ajili ya kuchanga sherehe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee mponzee tu mwenzako..!!

Mwambie aje aifatee getoooo.. ilaa ukimpa afu ukamgegeda jua ndo mshalipana..
Je ana chanzo cha mapato??? Hiyo hela anafanyia nini??? Usijemkopesha kumbe kwa ajili ya kuchanga sherehe..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anaomba mkopo unamuuliza kwaajili ya kufanyia nini? Ni mkopo si msaada
 
Hata samaki anawekewa chambo ndio anavuliwa. Kuku anapewa mchele ili aliwe kwa wali.
Wewe unataka free lunch!!Amekuomba mkopo unabeba mabango.
Angekuomba msaada ungefanya maandamano.
Kweli wanaume tunapungua siku hadi siku.
 
Back
Top Bottom