Nimkopeshe elfu hamsini.

Nimkopeshe elfu hamsini.

Elfu hamsini unamwandikia na Uzi? ...... ukiambiwa ulipe kodi ya Nyumba na Junuary hii si utamweka kwenye Billboards kabisa. Hivi Wanaume wa Kizazi hiki mmekuja kuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiumize KICHWA;

Mtoa mada sio MWANAUME, bali ni MVULANA.

Ushahidi huu hapa
"Toka nimtokee hata wiki haijaisha...."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkopeshe wewe acha woga si bora amesema akopeshwe kuliko kukuomba

Mwanaume huwa halii na vitu vidogo kama hivi
 
mpe tuu ili kuonyesha "Goodwill" ni jambo la kawaida katika biashara yoyote ..rejea Barrick/ Acacia na Tanganyika
 
Umelia mpaka kuleta thread mwanaume wa kweli angempa tu huko huko kimyakimya
Usichukulie vitu serious sana.. Na kutokana na comments zenu hapa kwa baadhi ya nyinyi wanawake kuna kitu nimekipata.
 
Back
Top Bottom