Nimjibu vipi huyu mwanamke?

Nimjibu vipi huyu mwanamke?

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]wanaume wa dar bhana[emoji56][emoji56]
 
Kuna mwanamke nilimpenda sana...ila kwa bahati mbaya ameshaolewa...
Sasa juzi kati nikampost kaclip video kake...
Akanitumia txt kuwa *haamini kama kweli nimempost*...nikamjiibu "Amini kwasababu wewe ni moja ya watu muhimu kwangu"...akaniuliza ^kwanini nasema Hivo??^....

sasa wakuu hapo nimjibuje ...
'ARUDIE KUSOMA JIBU LAKO LA AWALI
 
Kuna mwanamke nilimpenda sana...ila kwa bahati mbaya ameshaolewa...
Sasa juzi kati nikampost kaclip video kake...
Akanitumia txt kuwa *haamini kama kweli nimempost*...nikamjiibu "Amini kwasababu wewe ni moja ya watu muhimu kwangu"...akaniuliza ^kwanini nasema Hivo??^....

sasa wakuu hapo nimjibuje ...
T
 
Mke wa mtu sumu asee unaweza ukawa unatengenezewa mazingira tu unase mwisho wa siku wana kuambaruti bure achana nae move on man
 
Kuna mwanamke nilimpenda sana...ila kwa bahati mbaya ameshaolewa...
Sasa juzi kati nikampost kaclip video kake...
Akanitumia txt kuwa *haamini kama kweli nimempost*...nikamjiibu "Amini kwasababu wewe ni moja ya watu muhimu kwangu"...akaniuliza ^kwanini nasema Hivo??^....

sasa wakuu hapo nimjibuje ...
Wewe si ndiye unajua umuhimu wake, sasa sisi tutakusaidiaje?
 
Back
Top Bottom