Nimjibu vipi huyu mwanamke?

Nimjibu vipi huyu mwanamke?

Kuna mwanamke nilimpenda sana...ila kwa bahati mbaya ameshaolewa...
Sasa juzi kati nikampost kaclip video kake...
Akanitumia txt kuwa *haamini kama kweli nimempost*...nikamjiibu "Amini kwasababu wewe ni moja ya watu muhimu kwangu"...akaniuliza ^kwanini nasema Hivo??^....

sasa wakuu hapo nimjibuje ...
Kwanini unaishusha hadhi jf? Tena makusudi kabisa
 
Kuna mwanamke nilimpenda sana...ila kwa bahati mbaya ameshaolewa...
Sasa juzi kati nikampost kaclip video kake...
Akanitumia txt kuwa *haamini kama kweli nimempost*...nikamjiibu "Amini kwasababu wewe ni moja ya watu muhimu kwangu"...akaniuliza ^kwanini nasema Hivo??^....

sasa wakuu hapo nimjibuje ...
kuna mtu aliwahi sema kuwa akili za watoto wa kike zinafanana .yaani hawa viumbe ni kama watoto wadogo unaweza ukamdanganyia juice ya zabibu na ukala mzigo hlf baadaye akishtuka anajuta,ndio maana biblia iliwahi sema tuishi nao kwa akili saaaaaana
 
Kuna mwanamke nilimpenda sana...ila kwa bahati mbaya ameshaolewa...
Sasa juzi kati nikampost kaclip video kake...
Akanitumia txt kuwa *haamini kama kweli nimempost*...nikamjiibu "Amini kwasababu wewe ni moja ya watu muhimu kwangu"...akaniuliza ^kwanini nasema Hivo??^....

sasa wakuu hapo nimjibuje ...
kimbia unawezakua unachati na mumewe
 
Inawezekana mkuu...naweza kuwa nachorwa
ohooooo mi nakwambia coz nina ushuhuda otherwise akikukubalia uwahi eneo la tukia masaa manne kabla ili ujue anayekuja nani and make sure unamjua mumewe ili uandae mbio
 
Mumewe namjua
ohooooo mi nakwambia coz nina ushuhuda otherwise akikukubalia uwahi eneo la tukia masaa manne kabla ili ujue anayekuja nani and make sure unamjua mumewe ili uandae mbio
 
Mumewe namjua
ohooooo mi nakwambia coz nina ushuhuda otherwise akikukubalia uwahi eneo la tukia masaa manne kabla ili ujue anayekuja nani and make sure unamjua mumewe ili uandae mbio
 
Kuna mwanamke nilimpenda sana...ila kwa bahati mbaya ameshaolewa...
Sasa juzi kati nikampost kaclip video kake...
Akanitumia txt kuwa *haamini kama kweli nimempost*...nikamjiibu "Amini kwasababu wewe ni moja ya watu muhimu kwangu"...akaniuliza ^kwanini nasema Hivo??^....

sasa wakuu hapo nimjibuje ...

Usimjibu wee kaa kimya tena mpotezee kabisa atakuogopa kama ukoma
 
It z simple...just give me a right answer to her ,,,that is what i need here
easy things never get tough to matured men! get matured, probably you can solve that simple paradox
 
Back
Top Bottom