Mimi domo langu zito lakini lako limezidiKuna mwanamke nilimpenda sana...ila kwa bahati mbaya ameshaolewa...
Sasa juzi kati nikampost kaclip video kake...
Akanitumia txt kuwa *haamini kama kweli nimempost*...nikamjiibu "Amini kwasababu wewe ni moja ya watu muhimu kwangu"...akaniuliza ^kwanini nasema Hivo??^....
sasa wakuu hapo nimjibuje ...
Ooh kumbe...ndivyo ulivyoanzagaushoga huanza kwa namna hiyo.......
Dogo unafurahisha sana! Yaonekana mambo za kutongoza hujazimasta vizuri!Kuna mwanamke nilimpenda sana...ila kwa bahati mbaya ameshaolewa...
Sasa juzi kati nikampost kaclip video kake...
Akanitumia txt kuwa *haamini kama kweli nimempost*...nikamjiibu "Amini kwasababu wewe ni moja ya watu muhimu kwangu"...akaniuliza ^kwanini nasema Hivo??^....
sasa wakuu hapo nimjibuje ...
Hebu ondoa woga, jiamini!Ndio mzee