Kwa mtazamo wangu nilimshauri asiachane na yule alozaa nae coz nadhani ndo mwenye mapenzi ya dhati kwake. Yeye anadai sio chaguo lake na ana imani anaweza kupata mke mwingine msomi (kama aliyenae) na wakaishi happily. Nifanyaje nimnusuru jamaa na ili zigo analotaka kulibeba?
Sometimes nasema simba akikosa nyama hata majani atakula,..Jamaa kala majani anakuja kupata nyama kumbe ni kibudu mara mia angebaki kula majani.,ajui ila atakapo jua atajuta sana,la muhimu mwanamke aliye mzalisha apiganie haki zake kisheria juu ya mtoto na atulie na maisha yake wala asiangaike na huyo tamaambele.Ipo siku atakuja kuona umuhimu wake.
yah wengio ndivyo walivyo, eti akipata hela sio chaguo lake weye uliyekuwa nae kipindi cha ukata..... inauma haswaa!
na ni mlemavu wa aje lakin?? nways ngoja yamkuta afunzwe na dunia atakoma ni limbukeni wa mapenzii huyoo hajayajua fresh ss ngoja yampe darasa atulie.
Rafiki yangu ni mlemavu wa viungo. Kuna kipindi alikuwa vibaya kiuchumi, and that time wadada wengi walikuwa wanamkataa alipowatongoza. Mungu mkubwa akatokea mdada ambae alimpenda sana pamoja na kuwa mlemavu na hana hali nzuri kifedha. Pitapita mdada kapata mimba na wakati ana mimba jamaa mazali ya pesa yakamuuangukia. Kifupi life ikabadilika. Yule dada alikuwa wa kawaida sana (sio mrembo sanaaa au dada du) na elimu yanke ni form four ila ni mdada wa heshima.
Sasa ivi jamaa kifedha yuko poa, mademu kitaa wote wanamtaka, sasa yeye anadai yule dada sio chaguo lake (alozaa nae), kampata ambae ni chaguo lake. Hataki kuishi na yule mdada na mtoto tena, na kapata dada du mmoja tena msomi (ana Masters) na ni mzuri sana kwa kweli kiasi kwamba ye mwenyewe hana amani kabisa. Bro wangu kasoma na uyo demu, anasema bonge la kicheche.
Kwa mtazamo wangu nilimshauri asiachane na yule alozaa nae coz nadhani ndo mwenye mapenzi ya dhati kwake. Yeye anadai sio chaguo lake na ana imani anaweza kupata mke mwingine msomi (kama aliyenae) na wakaishi happily. Nifanyaje nimnusuru jamaa na ili zigo analotaka kulibeba?
Demu alozaa nae anamdharau sana. kuna siku alikuja kwangu uyo demu akanambia rafiki yako kanambia niende kokote coz chaguo lake anakuja home so hataki matatizo tena akamwambia aende na mtoto coz hataki uyo mwenye mastaz akasirike! Ni kwa vile jamaa ni mlemavu tu ila angekuwa mzima ningemtwanga mangumi. Dem kakaa kwetu hadi saa 3 usiku ndo anampigia simu arudi eti mastaz kaondoka, lol!
jamaaaani,huyo rafiki yako mbona kama na utu wake umelemaa?yaani anamtenda hivi mdada wa wenyewe kweli?malipo yake hayatakawia na hatayasahau.
jamaaaani,huyo rafiki yako mbona kama na utu wake umelemaa?yaani anamtenda hivi mdada wa wenyewe kweli?malipo yake hayatakawia na hatayasahau.