Rafiki yangu ni mlemavu wa viungo. Kuna kipindi alikuwa vibaya kiuchumi, and that time wadada wengi walikuwa wanamkataa alipowatongoza. Mungu mkubwa akatokea mdada ambae alimpenda sana pamoja na kuwa mlemavu na hana hali nzuri kifedha. Pitapita mdada kapata mimba na wakati ana mimba jamaa mazali ya pesa yakamuuangukia. Kifupi life ikabadilika. Yule dada alikuwa wa kawaida sana (sio mrembo sanaaa au dada du) na elimu yanke ni form four ila ni mdada wa heshima.
Sasa ivi jamaa kifedha yuko poa, mademu kitaa wote wanamtaka, sasa yeye anadai yule dada sio chaguo lake (alozaa nae), kampata ambae ni chaguo lake. Hataki kuishi na yule mdada na mtoto tena, na kapata dada du mmoja tena msomi (ana Masters) na ni mzuri sana kwa kweli kiasi kwamba ye mwenyewe hana amani kabisa. Bro wangu kasoma na uyo demu, anasema bonge la kicheche.
Kwa mtazamo wangu nilimshauri asiachane na yule alozaa nae coz nadhani ndo mwenye mapenzi ya dhati kwake. Yeye anadai sio chaguo lake na ana imani anaweza kupata mke mwingine msomi (kama aliyenae) na wakaishi happily. Nifanyaje nimnusuru jamaa na ili zigo analotaka kulibeba?
Hana ulemavu wa akili?Rafiki yangu ni mlemavu wa viungo. Kuna kipindi alikuwa vibaya kiuchumi, and that time wadada wengi walikuwa wanamkataa alipowatongoza. Mungu mkubwa akatokea mdada ambae alimpenda sana pamoja na kuwa mlemavu na hana hali nzuri kifedha. Pitapita mdada kapata mimba na wakati ana mimba jamaa mazali ya pesa yakamuuangukia. Kifupi life ikabadilika. Yule dada alikuwa wa kawaida sana (sio mrembo sanaaa au dada du) na elimu yanke ni form four ila ni mdada wa heshima.
Sasa ivi jamaa kifedha yuko poa, mademu kitaa wote wanamtaka, sasa yeye anadai yule dada sio chaguo lake (alozaa nae), kampata ambae ni chaguo lake. Hataki kuishi na yule mdada na mtoto tena, na kapata dada du mmoja tena msomi (ana Masters) na ni mzuri sana kwa kweli kiasi kwamba ye mwenyewe hana amani kabisa. Bro wangu kasoma na uyo demu, anasema bonge la kicheche.
Kwa mtazamo wangu nilimshauri asiachane na yule alozaa nae coz nadhani ndo mwenye mapenzi ya dhati kwake. Yeye anadai sio chaguo lake na ana imani anaweza kupata mke mwingine msomi (kama aliyenae) na wakaishi happily. Nifanyaje nimnusuru jamaa na ili zigo analotaka kulibeba?
mie nakubaliana na huyo mlemavu. kweli anachosema kuwa yule demu aliyezaa nae sio choice yake ingawa demu ana mapenzi ya dhati. alikuwa nae kwa wakati ule becoz thats the type of women he culd get at the tym bana...so kupoza kiu ya mwili tho alikosea kumpa mimba.
huyu alijua wat type of lady she wants na sasa ndio kampata so clearly wacha atafute. wewe unaweza muona **** lakini kila mtu ana tbat picture of a lady they wuld hav as a wife....so let the man have his choice becoz its wat he always wanted but culd not attaon wen he was with no cash......
mie nakubaliana na huyo mlemavu. kweli anachosema kuwa yule demu aliyezaa nae sio choice yake ingawa demu ana mapenzi ya dhati. alikuwa nae kwa wakati ule becoz thats the type of women he culd get at the tym bana...so kupoza kiu ya mwili tho alikosea kumpa mimba.
huyu alijua wat type of lady she wants na sasa ndio kampata so clearly wacha atafute. wewe unaweza muona **** lakini kila mtu ana tbat picture of a lady they wuld hav as a wife....so let the man have his choice becoz its wat he always wanted but culd not attaon wen he was with no cash......