Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Habari zenu wanajamvi natumaini ni wazima wa afya. Jamani leo yamenikuta mwenzenu nikiwa namuaga kwa d*nda zito My nyumba ndogo wangu shemeji yangu wa kiume akaniona na kuniambia ya kuwa sio vizuri ninachokifanya na kuondoka zake na kwenda kumuambia dada yake ya kuwa ameniona,bac kidume kufika nyumbani nikakutana na kesi,mie nikakataa kuwa hakuniona na wala cna demu nje,ikabidi aitwe na kuulizwa anakubali kaniona na mie nakataa ya kuwa hakuniona na wala ckufanya hiyo kitu,mpaka sasa sijalala napigiwa kelele natishwa,nafinywa,napigwa na mito yaani vurugu humu ndani amani ishaanza kutoweka na My wife wangu kawa mkali ajabu. Je? Nimfanyeje shemeji yangu huyu.