Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

Nimfanye nini mke wangu aache tabia hii?

itakuwa ashakuona wewe ni kama skepa tu, ila inabidi urudi kwenye makali yako ya awali.
 
Rangi ya chupi, chupi ilivyomkaa na kumvua chupi wakati wa kudu pia inaraha yake mkuu, raha ya ndizi kumenya baba.

mh mi sipendagi hivyo vipingamizi tukiingia bedini, akiwa na pichu kabla hatujalala naenjoi kumuona lakini bedini sitakagi shida za kuvuana kwakweli
 
Hahaha. Oh bruh! What's panties? If it's worth it, I'd go through walls and walls just to get to it, all -day, everyday.

If it's sweet, and not cheap, you gotta sweat, to hit it. No doubt.

We jamaa umeishi Nchi gani? Tanzania hapa.. Bado hatujajua kikoloni
 
Sio kila siku unaingiza tu lain kweny simu kirahis hvyo! Kumtoa pichu napo ina raha yake banaa, ila usitoe kama mna ugomvi....

Yaani mi isingekuwa ujeuri wake ningekuwa nakula mzigo kilasiku ya Mungu kasoro siku za period, nasikia ukifanya kilasiku afya inaimarika na siku za kuishi zinaongezeka. Na vipi tukiwa na ugomvi ndo siruhusiwi kula mzigo?
 
sio sababu kwani unapotaka kuchomeka line kwenye simu c lazima utowe mfuniko na betri ndipo uchomeke screpa

Hapana,, Nokia yangu lain mbili, ila moja nachomeka kwa pembeni.. Ubavuni Mwa simu
 
Last edited by a moderator:
sio sababu kwani unapotaka kuchomeka line kwenye simu c lazima utowe mfuniko na betri ndipo uchomeke screpa

Kuna simu nyingine unapitishia line kwa pembeni(ubavuni) haina haja ya kuchomoa ufuniko na betri mkuu, kama hii simu nnayoitumia hapa
 
Last edited by a moderator:
Yaani mi isingekuwa ujeuri wake ningekuwa nakula mzigo kilasiku ya Mungu kasoro siku za period, nasikia ukifanya kilasiku afya inaimarika na siku za kuishi zinaongezeka. Na vipi tukiwa na ugomvi ndo siruhusiwi kula mzigo?

Hhaahha kila siku? Hadi na kiungo kitaongea sasa lol. Wala unakula kama kawaida, ugomvi utaendelea afta kumaliza shughuli! Lol ila itategemea ugomvi gan
 
Back
Top Bottom