Nimfanye nini huyu office-mate?

Si unataka asikusumbue tena? nakushauri sasa,chukua ushauri wa wadada wa humu jf coz wao wanajua mambo yanayowakatisha tamaa
wakifanyiwa na wapenzi wao au wale wanaotaka wawe wapenzi wa baadaye,
ukichukua ushauri wa ''me'' wenzio utakupeleka pabaya
kwa heri.
 
pole, naona kama ni mimi ninaekuandama vile, bac nitaacha kukutega!!!!!
 
Ukianza tu kuomba PO ujue ushaliwa. Mdada keshaklula head, tusubiri umaliziaji tu
 
kwa sababu umemzoea kama unavosema basi siku moja toka naye out ya lunch wakati wa kazi..mkifika huko muulize kwa nini amebadilika siku hizi? mwambie wazi kuwa hupendezwi na mavazi yake ya vimini na pia kuacha matiti wazi..
mwambie kuwa hayo yamekufanya umuogope na umkwepe kwa sababu yeye ni mke wa mtu na wewe ni mume wa mtu, na wewe kama mwanaume unaogopa vishawishi vitakavyoharibu urafiki wenu..mwambie wazi hupendezwi na tabia yake na umuombe abadilike arudi kama zamani..
mueleze wazi kuwa hujawahi mcheat mkeo na wala huna mpango huo na pia umshauri na yeye asithubutu kujiingiza kwenye hilo janga..
unapomueleza hayo usionyeshe kama umejua anakutega wewe jifanye kama kuna mtu/boss anamtega basi aache..ofisini tupo kikazi tu..
baada ya hapo muangalie akibadilika endeleeni na urafiki ila usizidishe ukaribu, punguza ukaribu pole pole..kama hajabadilika basi zaidi ya salamu usiwe unamuongelesha mengine..kuwa serious na akikuuliza jambo mjibu kwa mkato...jifanye uko bize na wakati wote usimpe nafasi ya kuwa karibu na wewe..kama ni shida ya kwny computer ita mtu wa IT amsaidie, mwambie ww sio mtaalamu wa IT itakuwa vizuri amuite mtu wa IT..
na pia weka picha ya wife wako mezani kwako na kama ofisi ya wife haiko mbali muombe wife akusindikize lunch japo mara chache
hapo utakuwa umemkata maini na kumpunguzia speed anayokuja nayo...
 
Mtongoze kishambashamba, maana kama hajakudharau, basi walau kwa mara ya kwanza atakujibu "Hapana", then uchukulie ndio jibu la mwisho....! Kuanzia hapo atakuwa mbali nawe, na kamwe hutasumbuliwa tena.
 

Laussane hii pia nimeichikua!
 
mchane laivu wala usimuendekeze oohoooo! ukicheka na nyani utavuna mabua!
 

Good,tena uwe serious kbs atakuelewa.
 

Mkuu Kamusi nashukuru, ushauri mzuri!
 
.....muendelezee story zako za wanao na mkeo, atakuacha, na ikibidi weka fremu ya picha ya familia yako mezani kwako.






#MosKwito !

Mkuu ushauri wako mzuri, sijui kama picha itasaidia kwa sababu si mara 1 ama 2 nimemleta wife hapa ofisini, wanajuana kwa sura na hata kuwasiliana kwa simu, ni basi tu bidada kaamua kuvaa uso wa mbuzi!
 
Kwani ukimpotezea, ukamdharau na mambo yake utapungukiwa nini
au ndi sitaki nataka?

Ni kweli sintapungukiwa na kitu, ila nataka kuweka mipaka ya heshima baina yetu! namna ambavyo yeye anajiweka itachora taswira ya ss sote tulivo hapa ofisini kwetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…