Nimfanye nini huyu mwanamke?

Nimfanye nini huyu mwanamke?

Nimemlipia pango Januari mwaka huu lakini hajanikaribisha kwake hata siku moja licha ya kumuomba mara kadhaa. Leo mkataba wake wa pango unakaribia kwisha, ananiomba nimlipie tena!

Kwenye title ni mwanamke, sio mwanamme. Mambo ya smart phone, mnisamehe
Wewe ni tahira
 
Nimemlipia pango Januari mwaka huu lakini hajanikaribisha kwake hata siku moja licha ya kumuomba mara kadhaa. Leo mkataba wake wa pango unakaribia kwisha, ananiomba nimlipie tena!

Kwenye title ni mwanamke, sio mwanamme. Mambo ya smart phone, mnisamehe
Sasa ukitoa sadaka unataka uchangie kuila mpaka iishe
 
WAJINGA NDIO WALIWAO MKUU

AFU WAZEE WALISEMA

Mwanamke kama hakusikii na sikio la juu BASI jitahidi sana akusikie kwa kutumia sikio la chini
Wanasema hivii..."Nanukuu"...Mwanamke Anamasikio Matatu Ukitaka Yale Mawili Yasikie Vizuri..Basi Hakikisha Lile Moja La Chini Unalizibua Haswaa.....
 
Back
Top Bottom