Nimfanye nini huyu mwanamke?

Nimfanye nini huyu mwanamke?

Nimemlipia pango Januari mwaka huu lakini hajanikaribisha kwake hata siku moja licha ya kumuomba mara kadhaa. Leo mkataba wake wa pango unakaribia kwisha, ananiomba nimlipie tena!

Kwenye title ni mwanamke, sio mwanamme. Mambo ya smart phone, mnisamehe
Mnatupotezea muda aise.
 
Nimejikuta nawaza hivi mwanamke atanifanyia nini mpaka niamue kumlipia kodi nimekosa majibu.
Ndiyo maana sisiem kila mwaka wa uchaguzi inashinda tu kwa sababu ya mambumbu kama hilo ni mtaji tosha wa wanyonyaji na yako mengi sana so yanakua manipulated tu kirahisi...
 
Nimemlipia pango Januari mwaka huu lakini hajanikaribisha kwake hata siku moja licha ya kumuomba mara kadhaa. Leo mkataba wake wa pango unakaribia kwisha, ananiomba nimlipie tena!

Kwenye title ni mwanamke, sio mwanamme. Mambo ya smart phone, mnisamehe
jibu unalo
 
Nimemlipia pango Januari mwaka huu lakini hajanikaribisha kwake hata siku moja licha ya kumuomba mara kadhaa. Leo mkataba wake wa pango unakaribia kwisha, ananiomba nimlipie tena!

Kwenye title ni mwanamke, sio mwanamme. Mambo ya smart phone, mnisamehe
Lipa tena
 
Nimemlipia pango Januari mwaka huu lakini hajanikaribisha kwake hata siku moja licha ya kumuomba mara kadhaa. Leo mkataba wake wa pango unakaribia kwisha, ananiomba nimlipie tena!

Kwenye title ni mwanamke, sio mwanamme. Mambo ya smart phone, mnisamehe
We n nani kwake em jiongeze na ww
 
unamlipia halafu haukanyagi kwakwe? na uko serious kabisa kashakuona kitega uchumi huyo
 
Back
Top Bottom