yohana Malekela
Member
- Sep 12, 2017
- 41
- 42
Pole kaka. Hakuna milima Bila ukungu means hakuna binadamu Bila matatizo/changamoto. Kitu kizuri ni kuwa akili yako inamchukulia ni mchumba na syo mke.Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa
Twende kwenye mada
Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani
Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa
Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy
Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa
Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...
Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu
Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje
Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?
Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
Najua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa
Twende kwenye mada
Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani
Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa
Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy
Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa
Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...
Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu
Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje
Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?
Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji106][emoji106]Mpige ban ya maaisha kama jina lako lilivyo tudada twa hivyo ni kiwanda cha stress uyo ukioa tu sahau kupewa khuma yani utapiga punyeto na k ipo pemben yako inapumua nlishaishigi na kimoja ka iko ilikua tukipishana lugha kdogo tu au kutofanya anachotaka ntanuniwa mwez mzima k naishia kuina kwenye bomba Nakwambiaje mpige Bann ya maisha
Umeifanya ni tafakari kwa kina shukurani mkuuAcha upuzzi kimbia hapo haraka sana, hakupendi ila anakutegemea kiuchumi... ndioo maana ukifulia anajinunisha...
na biashara sio kwamba imefilisika aliona una ifutalia sana akaona bora aiue ili hizo fedha aje kuanzisha kitu chake wae na uhuru nacho, au la hizo fedha kuna kijeba ana kula nae..
Narudia Tena huyo hakupendi una mbanabana anashindwa kuwa huru na mtu ammpendae nasiku ukigundua utakosa amani wewe maana umewekeza mahali pabaya!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16]Wewe ndio unaeishi nae na utakaeishi nae.....
Wewe ndio unaejua kama unamuhitaji au haumuhitaji, vile vile unajua kama unaweza kumuacha au hauwezi. Pia unajua hizo tabia unaweza kumvumilia ua hauwezi....
Ushauri ni ule ule ....tafuta hela[emoji16]
Sasa c uoe hiyo manzi...wanaume tunaogopa kumegewa[emoji848]Uzuri wake ni msafi yaani nguo ndani hazilundikwi nikivua tu imeng'a@
Pia mcheshi hata nimuuz vp ukija ww mgen utakula utavimbiwa na huto jua kama kimewaka
Pia kaz anapiga ukimpeleka shamb heka siku tatu
Kitandani sijawahi juta na sijawahi pata kwingn kama hapa ndan
Wee bhana ee haa kwani we ni men au mbona id ya kike oooh majilan huku hapa sina ubishi poa man nimekupata naoaSasa c uoe hiyo manzi...wanaume tunaogopa kumegewa[emoji848]
Oa huyo man mwenzangu
we unataka mwananke wa aina gani?, ukisema umuoe a hupendi uongo io imekula kwako, kama unataka mwanamke wa kutengeneza pesa pia ukufai, kama unataka mwanamke wa kukusikiliza unavyotaka pia akufai. mi nnachoona unampenda na unafata mazuri mengine aliyonayo. kama na uwezo wa kumvumilia achana naeNajua wote humu hamjambo maana huwezi ingia humu huku unaumwa
Twende kwenye mada
Wakuu nimepata mke ambaye natarajia kumuweka ndani ila sasa
Kabla ya kufika huko kwenye kuwekana ndani
Nilimpima kwanza je atafaa kweli kifupi huyu binti nipo naye kwenye uchumba karibia miaka 2 navyosema uchumba yaan yupo gheto siwez ita mke mana hutajafunga ndoa
Kasoro ya huyu mwanamke kwanza sio mkweli anaweza kukudanganya hata kwa jambo
Ambalo unaliona hili halipo hivi
Sasa sijajua huwa anamaanisha nini?
Licha ya kumuonya mara kadhaa ila hurudia hivyohvy
Na akiona huna pesa hujinunisha hata wikii nzima na unyumba ulambi najua baadhi ya wadau mtasema tafuta pesa
Ipo hivi pesa hata uitafute vp ila kuna muda mambo hubuma maana kuna kuumwa nk...
Kwa kuliona hilo nikajipigapiga nikamfungulia shop ya nguo ilikuwa vizuri ila mwishon akafanya anachojua yy akajifilisi maana mwenendo aliokuwa nao ilikuwa lazima ajifilisi
Na ilikuwa ukimuonya anasema mnatunyanyasa wanawake Na atanilipa hela yangu mimi huwa sina maneno hua namwangalia tu sasa wakuu
Je kwa tabia hizi je niingie mazima au nifanyeje
Kuna wadau baadhi utawasikia umeshindwa kuamua hadi kwenye hili?
Nasema hivi ndio nimeshindwa naombeni ushauri wenu