Well said. Inaonekana huyu jamaa kapelekwa pale kwa kazi moja tuu, kulinda maslahi ya RA kwenye umeme na madini. Toka achaguliwe yeye na DOWANS! DOWANS mpaka amejisahau anaongea kama vile ndio serikali.Inaonyesha kweli nyie wachache humu JF na nchini kwetu hamjui "uchumi" wala kitu kinaitwa "solution" kamati wanakaa siku 12 kuzungumzia jinsi ya kupunguza megawatts za migodini na kuongeza uzalishaji IPTL kama solutions kwa depth ya tatizo la umeme nchini Tanzania. Kwani Tanesco hawajagundua migodi haiitaji hizo megawatts au kuongeza fedha za mafuta? Kazi ya mkurugenzi wa Tanesco ni nini? au Hii kazi kapewa January pia. Mpaka sasa tunaona wananchi wanaoipenda Tanzania wanapinga Dawans ndani ya Tanesco, they don't want to hear this word anymore. Ufahamu wako wa jambo la umeme katika nchi linaonekana ni finyu sana na mnadanganywa au hamjui la kufanya au ni just political claps. Unajua Tanzania tunahitaji megawatts ngapi kuendesha viwanda mkoa wa Moshi peke yake? Unafahamu megawatts ngapi zinahitajika kuendesha hospitali za mkoa wa Dar? Itakuwa vizuri sana kama hiyo kamati fake ya January wangekuwa wanakutana public ili dialog na wananchi wanaojua in deep solutions za umeme.
Tanzania mpaka leo hii inahitaji at least 800megawatts kucover mahitaji ya wananchi na Taifa zima. Tangu hiki chama kinachojiita ccm waingie madarakani uzalishaji wa umeme umepungua kutoka karibu 300megawatt mpaka kiasi cha kusikitisha maybe 150megawatts. Ufisadi na wizi Tanesco ambako kulitakiwa kusimamia utunzaji wa mabwawa (dams) na kufanya estimates ya uzalishaji wa umeme kupitia mito. Badala yake tangu Nyerere alipojiuzuru na kumwachia Mwinyi, ufisadi ukaingia na Shirika la Umeme Tanzania, Tanesco likageuka kuwa mradi wa ccm na mafisadi wakati wa Mkapa na sasa msanii. Hakuna Mtanzania leo hii hajui haya. Tanesco pamoja na makumpuni mengi ya serikali yakafanyiwa miradi na kukaingizwa something called "contracts", "joint ventures" and "privatization" Huu ndio usingizi Watanzania wamekuwa wamelala na sasa wengi wameamka na taking responsibility kulinda raslimali za Taifa.
Baada ya baba yake kumtafutia mtoto wake January kazi ili waendelee kuwatawala Watanzania, tunamwona mpotofu mwingine January akijifanya anafanya kazi wakati malengo ni kulinda deals za Rostam na mafisadi wengine ndani ya raslimali za Watanzania. Tangu January aingizwa na Makinda kwenye kamati ya nishati na madini tunaona wazi lengo kubwa ni kumlinda Rostam na deals zake na kuhakikisha kwamba Dowans inalipwa na zaidi kuendeleza kulinda siri za vyanzo vya kuharibika kwa Tanesco. Kwanini January asishirikiane na Chadema kuanzisha mjadala Richmond na Dowans ziliingiaje Tanesco na Tanzania? Kwanini January asichunguze hadharani nani mmiliki wa migodi ya Tanzania? This will be a good direction.
Solutions za janga la Umeme Tanzania ni kama ifuatavyo. Kama kweli tunataka kutatua hili swala ni kuleta kwanza "Transparency" na kuvunja kabisa Tanesco na kuunda chombo chenye mwelekeo wa kutatua Matatizo ya umeme. Wananchi wenye professional za engeering na economy waangalie estimates and conducting researches on the real energy capabilities of our country. Vitu vingine ni jinsi ya kufanya energy investments kwa ajili ya long-term solution. Hizi solutions za January, Rostam na Kikwete ni majanga makubwa sio solutions, wanachokifanya ni kufungua milango ya kuibia Taifa letu hakuna jipya hapa.
Sisi kama Watanzania tuangalie pembeni na kusonga mbele kubadilisha hii serikali ya Kikwete na ccm. Mapinduzi yameshaanza na tunamaliza kazi siku chache zimebaki kwa hiyo January na Kikwete jiandeani kuishi kwa mlo mmoja kama Watanzania mnao watesa.
Na ni nani alisema kuwa dharura itamalizwa na mitambo ya Dowans?dharura ya miaka sita ni dharura gani hiyo?
Hmmmmmm! solution indeed?
Kama ni rais wa kutangaza sijui,kama ni makamba mi sijui.Jamani.. hakuna mtu au chombo kinachoweza kutangaza "dharura" nchini isipokuwa Rais. Kamati ya Bunge haina madaraka hayo na hili tulimkatalia Waziri Mkuu Lowassa alipoingilia kati suala hili hili kwa kudai "dharura". Mengine wanaweza kuyatoa mapendekezo lakini la kutuambia hatua ichukuliwe kwa sababu ni 'dharura' haina hoja. Haijawahi kutangazwa wakati wowote na Rais kuwa Tanzania iko katika dharura kiasi cha kulazimisha kupindisha sheria au kuchukua "extra ordinary" measures.
Hivi kamati za bunge zina mamlaka makubwa namna hiyo....mbona kamati nyingine hatuzisikii au hazijapewa meno kama hii ambayo mwenyekiti wake anaonekana kuwa na sauti hata ya kumzidi waziri wa wizara husika. Au mwenyekiti wa kamati ya bunge yuko juu kimaamuzi zaidi ya waziri? Confusing!
Kwanini huko nyuma makampuni ya madini hayajawahi kukatiwa umeme wakati wa Tanzania wamekuwa wakipata adha hii miaka nenda rudi?
KAMATI ya Nishati na Madini imeamuru kuwashwa mara moja kwa mitambo ya kuzalisha umeme ya Kampuni ya Dowans ili kupunguza tatizo la mgawo wa umeme.
Hatua hiyo ni kati ya maazimio na mapendekezo 30 yaliyofikiwa na kamati hiyo na huku ikisisitiza kuwa iwapo serikali itayatekeleza kwa haraka itasaidia kuiondoa nchi katika athari za kiuchumi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam baada ya kumalizika kwa kikao cha kamati hiyo kilichofanyika kwa muda wa siku 12, Mwenyekiti wa kamati hiyo na Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba (CCM), alisema kutokana na mitambo hiyo kuwepo nchini ni muhimu serikali iiwashe mara moja ili kuepukana na matatizo ya kiuchumi.
Alisema mapendekezo yaliyotolewa ni yale ya dharura, ya kati na ya muda mrefu ambapo katika moja ya mapendekezo ya dharura, kamati hiyo inataka kupunguzwe megawati 125 zinazotumika katika migodi 4 ya madini ili umeme huo uelekezwe kwa matumizi ya wananchi.
Makamba alisema migodi hiyo haijawahi kuathiriwa na tatizo la umeme hivyo kwa sasa inatakiwa ipunguziwe megawatts 50 na kusisitiza kuwa hatua hiyo inaweza kufanyika hata sasa.
Katika migodi hiyo hawajawahi kujua wala kuonja makali ya mgawo hivyo serikali ikiamua kulitekeleza hilo linawezekana hata leo hili megawat hizo zikafidie maeneo yenye mapungufu, alisema.
Alisema mbali na hiyo pia serikali inatakiwa kuhakikisha inatoa mafuta ya kutosha katika mitambo ya kuzalisha umeme ya IPTL ambapo hadi sasa inazalisha kati ya megawat 10 hadi 50 huku ikiwa na uwezo wa kuzalisha megawat zaidi ya 80 hadi 90.
Alieleza kuwa iwapo serikali itashindwa kutekeleza mapendekezo hayo kuna uwezekano wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kupoteza kiasi cha sh bilioni 840 iwapo mgawo huo utaendelea katika kipindi cha mwaka huu.
Alisema mapato ya taifa yamepungua kwa asilimia tano ya pato la taifa ambayo ni sawa na dola bilioni 1.1.
Mapendekezo na maazimio tuliyotoa ni yale ya kati, dharura na ya muda mrefu na iwapo serikali itatekeleza mapendekezo hayo basi tatizo la umeme litaisha katika kipindi cha wiki moja, alieleza.
SOURCE:TANZANIA DAIMA
Inaonyesha kweli nyie wachache humu JF na nchini kwetu hamjui "uchumi" wala kitu kinaitwa "solution" kamati wanakaa siku 12 kuzungumzia jinsi ya kupunguza megawatts za migodini na kuongeza uzalishaji IPTL kama solutions kwa depth ya tatizo la umeme nchini Tanzania. Kwani Tanesco hawajagundua migodi haiitaji hizo megawatts au kuongeza fedha za mafuta? Kazi ya mkurugenzi wa Tanesco ni nini? au Hii kazi kapewa January pia. Mpaka sasa tunaona wananchi wanaoipenda Tanzania wanapinga Dawans ndani ya Tanesco, they don't want to hear this word anymore. Ufahamu wako wa jambo la umeme katika nchi linaonekana ni finyu sana na mnadanganywa au hamjui la kufanya au ni just political claps. Unajua Tanzania tunahitaji megawatts ngapi kuendesha viwanda mkoa wa Moshi peke yake? Unafahamu megawatts ngapi zinahitajika kuendesha hospitali za mkoa wa Dar? Itakuwa vizuri sana kama hiyo kamati fake ya January wangekuwa wanakutana public ili dialog na wananchi wanaojua in deep solutions za umeme.
Tanzania mpaka leo hii inahitaji at least 800megawatts kucover mahitaji ya wananchi na Taifa zima. Tangu hiki chama kinachojiita ccm waingie madarakani uzalishaji wa umeme umepungua kutoka karibu 300megawatt mpaka kiasi cha kusikitisha maybe 150megawatts. Ufisadi na wizi Tanesco ambako kulitakiwa kusimamia utunzaji wa mabwawa (dams) na kufanya estimates ya uzalishaji wa umeme kupitia mito. Badala yake tangu Nyerere alipojiuzuru na kumwachia Mwinyi, ufisadi ukaingia na Shirika la Umeme Tanzania, Tanesco likageuka kuwa mradi wa ccm na mafisadi wakati wa Mkapa na sasa msanii. Hakuna Mtanzania leo hii hajui haya. Tanesco pamoja na makumpuni mengi ya serikali yakafanyiwa miradi na kukaingizwa something called "contracts", "joint ventures" and "privatization" Huu ndio usingizi Watanzania wamekuwa wamelala na sasa wengi wameamka na taking responsibility kulinda raslimali za Taifa.
Baada ya baba yake kumtafutia mtoto wake January kazi ili waendelee kuwatawala Watanzania, tunamwona mpotofu mwingine January akijifanya anafanya kazi wakati malengo ni kulinda deals za Rostam na mafisadi wengine ndani ya raslimali za Watanzania. Tangu January aingizwa na Makinda kwenye kamati ya nishati na madini tunaona wazi lengo kubwa ni kumlinda Rostam na deals zake na kuhakikisha kwamba Dowans inalipwa na zaidi kuendeleza kulinda siri za vyanzo vya kuharibika kwa Tanesco. Kwanini January asishirikiane na Chadema kuanzisha mjadala Richmond na Dowans ziliingiaje Tanesco na Tanzania? Kwanini January asichunguze hadharani nani mmiliki wa migodi ya Tanzania? This will be a good direction.
Solutions za janga la Umeme Tanzania ni kama ifuatavyo. Kama kweli tunataka kutatua hili swala ni kuleta kwanza "Transparency" na kuvunja kabisa Tanesco na kuunda chombo chenye mwelekeo wa kutatua Matatizo ya umeme. Wananchi wenye professional za engeering na economy waangalie estimates and conducting researches on the real energy capabilities of our country. Vitu vingine ni jinsi ya kufanya energy investments kwa ajili ya long-term solution. Hizi solutions za January, Rostam na Kikwete ni majanga makubwa sio solutions, wanachokifanya ni kufungua milango ya kuibia Taifa letu hakuna jipya hapa.
Sisi kama Watanzania tuangalie pembeni na kusonga mbele kubadilisha hii serikali ya Kikwete na ccm. Mapinduzi yameshaanza na tunamaliza kazi siku chache zimebaki kwa hiyo January na Kikwete jiandeani kuishi kwa mlo mmoja kama Watanzania mnao watesa.
kuna watu kibao wana iba umeme na wafanya kazi wanajua lakini kwa kuwa hii nchi imekaa kifisadi fisadi tu ndiyo maana wasoma mita hupewa 2000 kwa mwezi wana kaa kimya, nijukumu lao Management ya Tanesco kujipanga na kuzibiti hali hiyo na wakiamua hawashindwi....kwenye nyekundu sikubaliani na wewe kabisa hawawezi kuashiwa wafanye watakalo wakati wananchi wanaumia, kamaleo TANESCO ukiwaruhusu wafanye huu ujinga kesho kuna shirika lingine litafanyi hivyo hivyi kama tunavyoona kwenye bidhaa kila mfanya biashara akijisikia kupandisha beianafanya hivyo matokeo yake tuna yao...gas, mafuta nkMatatizo yote yanaikumba TANESCO yanasababsishwa na shirika hilo kuingiliwa kiutendaji. Sasa Management inaona ni vyema kiuzia migodi umeme kwa sababu inapata pesa kamili za 125 MW tofauti na huku viwandani ambako mita zote zimechezewa ili kuonyesha umeme unaotumika ni kidogo kuliko unoingia, hivyo shirika kupata mapato kiduchu.
Mtakumbuka ile issue ya TANESCO na kiwanda cha Cement Tanga ambapo Dr Rashid alitaka kujiuzulu kama kiwanda hicho kitarejeshewa umeme kwa maagizo kutoka ngazi za juu baada ya kukamatwa wakiiba umeme.
Hivyo kitendo cha Kamati ya Januari Makamba kuifundisha management na apte umeme na nani aispate hakikubaliki hata kidogo na kitadhooifisha mapato ya shirika hilo. Naomba management ya TANESCO iachiwe iuze umeme wake kule wanapopaata mapato.
namkubali january makamba, I wish yeye ndiyo angekuwa waziri na ngeleja angebaki mbunge.
Well said. Inaonekana huyu jamaa kapelekwa pale kwa kazi moja tuu, kulinda maslahi ya RA kwenye umeme na madini. Toka achaguliwe yeye na DOWANS! DOWANS mpaka amejisahau anaongea kama vile ndio serikali.
Tumemshtukia.
Whatever it is kaka!
Kuna wadau wameuliza vitu vya msingi sana,kwa mfano nani anapaswa atangaze dharura?katiba na sheria zinasemaje?kama kamati how comes wanakuja na solution za dharura wakati anayepaswa kutoa tamko la dharura hajasema?
Lakini tujiulize kwa hizo hizo solution za "dharura" ni kweli Tanesco wameshindwa kabisa kuziona hizo mpaka hiyo kamati ikae na kuwaonyesha?kuna Electrical engineers waliobobea pale Tanesco wameshindwa kabisa kuyaona hayo?inatia shaka kidogo kujumlisha nayooote haya yaliyotokea toka RICHMOND to DOWANS (na mgogoro unaoendelea kuhusu hilo deni mpaka sasa),lakini pia huyo February Makamba kuingia kwake kwenye kamati hiyo na ukaribu wake na wale wanatuhumiwa kwenye DOWANS kwa yeyote yule lazima impe mashaka..labda kama wewe mwenzetu unaishi nje ya TANZANIA.