Tukutuku
Tusaidie mengine makubwa naomba namimi kupata elimu
Tunakaguaje usalama wa tigo? mbinu gani inatumika?
Hahahah mie nilidhan watania uliposema jana,lakin we si umeshabikir wengi afu hukuwaoa ,hudhan huyu naye ni miongon mwa wale uliowafanyia majaribio? Kila la kheri bana na hongera kwa zawadi ya mwaka mpya!!!
mm bado naongea kimama zaidi hupaswi kufanya nae tendo la ndoa kwa umri huo. tena hujui tu akili za kike ni nguu sana once ukisha mzoeza utaanza kupunguza performance yake kwenye mambo ya msingi.SAHAMANI mamii,lakini sijui kama umesoma hiyo Thrad vizuri?,mimi yeye mwenyewe amenieleza na kunisisitiza,hayo unayosema nimejaribu kushauriana naye sana lakini still ameendelea kunisisitiza,na kuna maneno ambayo kaniambia kama ya vitisho vile,ambavyo vimenifanya nidhani kwamba yawezekana anapata usumbufu sana so inaweza tokea siku moja akajikuta anashinda kuvumilia kwa sababu kakua eti gfsonwin?!!!!!!
Binafasi mimi huyo ndiye chaguo langu tangu tulipokubaliana naye alivyoingia tu 41,kwa hiyo nikuhakikishie tu kwamba hakuna mwingine atakayechukua nafas yake hata yeye anajua hilo kwa sababu Mamii gfsonwin sio kwamba siaoni wengine wapo sana na wnanitafuta kwelikweli kwa sababu na wenyewe wanona kitu flani kwangu,sasa wengine huwa nadhani labda wananihitaji kwa sababu tu wameona kwamba kuna lihouse hapo,litex,na midudu mingine mingimingi na baada ya kupata lidude limoja basi anatoweka.
Naishi Dar lakini shughuli zangu nafanyia Geita kwenye mgodi wangu huko,zamani nilikuwa naishi huko nikamua kuhama,ka hiyo huwa nakwenda kukagua kazi na kurudi huku.kwa hiyo naomba unielewe na unisamehe na hili si jambo la utani nashukuru kwamba mpaka sasa wachangiaji wanaonekan wako serious sana ka michango yao.
Piga magoti 2ku2bishe mzinz mkubwa, tena unatakiwa ukamatwe haraka sana ukasote kwa miaka 30,nashukuru nimekufahmu mafisa usalama wanakusubr Kamanga fery,Kigongo fery,utajuta kumfahamu huyo bnti!
mm bado naongea kimama zaidi hupaswi kufanya nae tendo la ndoa kwa umri huo. tena hujui tu akili za kike ni nguu sana once ukisha mzoeza utaanza kupunguza performance yake kwenye mambo ya msingi.
mwache analazimisha sawa nenda kamsalimie kula nae lanchi ama dina kisha ondoka. mama yake anajua kwamba unakwenda kumbikiri mwanae?? tusihalalishe dhambi kisa tu eti unataka uridhishe nafsi yako.
myself naichukulia kama serious matter na hata Thanda anayesema uwe na mpango makakati sidhan kama umemuelewa vyema, kaongea kauli ya kibaba sana kwamba ''"""sio lazima nikwambie mtumie.............""
nenda kafikir upya wazo lako la kuumbikiri just 17 ama 18yrs girl??
Unajua gfsonwin, mapenzi ya wakatiakili imekomaa ni matatu sana, huna haja ya kuumiza kichwa au kuacha masomo eti mapenzi ni kipofu. Mtu aliniamba wakati fulani mapenzi ni kipofu mimi nikamwambia kipofu ni mapenzi ila mimi naona, so what...hawa vijana wa late early 90,s wko na mambo mengi yasiyo tija,,,,just sex....Nikumbushe kesho nishuke na takwimu za total life span ya mwanadamu, only kwa 70yrs uone. Sex is just 0.5% over 100%.
mm bado naongea kimama zaidi hupaswi kufanya nae tendo la ndoa kwa umri huo. tena hujui tu akili za kike ni nguu sana once ukisha mzoeza utaanza kupunguza performance yake kwenye mambo ya msingi.
mwache analazimisha sawa nenda kamsalimie kula nae lanchi ama dina kisha ondoka. mama yake anajua kwamba unakwenda kumbikiri mwanae?? tusihalalishe dhambi kisa tu eti unataka uridhishe nafsi yako.
myself naichukulia kama serious matter na hata Thanda anayesema uwe na mpango makakati sidhan kama umemuelewa vyema, kaongea kauli ya kibaba sana kwamba ''"""sio lazima nikwambie mtumie.............""
nenda kafikir upya wazo lako la kuumbikiri just 17 ama 18yrs girl??
umeniacha hoi kwa hako kamsemo kwamba kipofu ni mapenzi..........lol! mm siwez kusema eti WABHEJASANA aende kumbikiri huyu bint just kwasababu binti kasema. na naamini yeye anatumia ile dhana ya kwamba mapenzi ni kipofu.ingekuwa busara kama angeendelea kusubiri huwa wakiwa wanawasiliana ili binti amalize hata kidato cha sita akili yake iwe imepanuka zaid.
usione hapa anasema nitamuoa nina mpenda, nikwasababu hajaish nae akisha ishi nae atakuja hapa na slogan tofauti. amwache binti wa watu na kama ningekuwa mm nikisema ndo inatekelezwa basi ningesema asimbikiri. ila kwakua mm sio mwenye say ya mwisho basi naliacha afanye atakavyo yeye ila hatujengi jami yenye nidham kwa stail hii.
hahahahahah tichaaaa....mwenzio kapagawa we wamwambia asubiri!!! mabinti wengi siku hizi wanabikiriwa wakiwa too young huyo wa 17yrs mbona mkubwa sana, wako wengi wa 12,13,14,15yrs na ni loose tayari, mie nadhani ishu ni malezi ya sikuhizi yamepwaya somewhere, hawaoni thamani yao tena na ukichanganya na pressure ya hao wanaume wanaowarubuni kila uchao basi vibinti vidigo vilivyo bikra idadi ni ndogo mno!!! jamaa akil yote ishahamia kwenye kubikiri mtu this new year so sidhani hizi sermon kama zitamwelea...jambo la msingi ni kumwish kazi njema ktk analokwenda kufanya!!!
Jamii mpya endelevu (sustainable family)ni ngumu kwa jinsi hii kuijenga WABHEJASANA ni-PM tuwe private kidogo nikupe ya kikubwa nikupetie ile kitchen party ya kibaba zaidi pliz....najua utanielewa!!
hivi Ciello kama sisi ambao tuko hapa jf hatuwi mfano kwa matendo mema je tutegemee wale ambao wako nje ya huu mtandao waweje?? ambao hawakutan na great minds kama hizi wala hawapati experience kama hizi tunazopata hapa??
hakuna cha kumuwish wala nn and as a mother siwez kusema eti aene akabikiri. fikiria ni dada yake ama ni mwanae angeruhusu haya?? hata kama wanabikiriwa katika umri mdogo basi je tusiikemee hi hali?? nenda kamsome BADILI TABIA kwenye uzi wangu wa 2013 tujitathmini kama wazazi utamsikia anayoyasema.nimeutuma leo hapa mmu