Pale mwishoni mkuu nimeeleza kuwa mazingira niliyokutana nae pamoja na mazingira ya kazi ndio vyanipa wasiwasi mkuu. Ushauri wako nimeuelewa sana mkuu. Thanks
Tatizo ni jamvi la wageni.Bar maid sio mtu?!
Tatizo ni jamvi la wageni.
Kuna njema huku kwetu pia alimzimikia bar maid mpaka jamaa akafikia kujiua kwa ajili ya wivu.
Upo sahihi kabisaShida za dunia hii wakati mwingine hupelekea watu kufanya kazi ambazo hata hupunguza heshima ya utu wao! Usimuhukumu huyo au mwingine yeyote kwa kigezo cha mazingira ! Utu na tabia yake vishike hatamu katika tafakuri yako na baadae maamuzi!
Hahahahah nmeipenda hiiinmkuuu.Bar maid ni mtu na ni mwanamke kama wanawake wengine.Huwezi jua nini kilimpelekea kufanya kazi bar.Kama umemuona anastahili muoe tu na utaenjoy kama wanaume wengine.Hivi ndoa zinazovujika kwa sababu tofauti wanawake walikuwa wauza bar? Huyo anahitaji kuolewa kama wengine.Na ni mwaminifu kama ulivyoeleza.Ukimpoteza utaumia baadae.Halafu marufuku kuwaambia nduguzo kuwa alikuwa anauza baa.Mtafutie kazi au biashara ndo muanze mchakato wa ndoa.Binafsi nimebariki.Unipe kadi nitachanga