chamng'asi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 211
- 385
Nilianza nae vzr miezi kadhaa akapata ujauzito akiwa chuoni. Akazaa kuendelea na chuo na sasa ameshahitimu na mtoto ana miaka minne.
Nilitarajia akimaliza chuo nifanye taratibu za kuishi nae tulee mtoto wetu na ikibidi tuongeze.
Shida nikaanza kuiona nilipokuwa karibu nae baada ya kurudi masomoni.
1. Ana wivu wa kukera anacontrol simu zangu yani sina privacy tena
2. Ni mkorofi, mkali, mbishi hakubali kushindwa
3. Hana huruma na mimi hataki kusikia neno sina pesa... Mtagombana
4. Hapendi maisha magumu anapenda raha muda wote
5. Ni mvivu anapenda kulala na kuchezea simu
6. Ni mchafu kuanzia yeye mpaka nyumba hii inanikera sana
7. Hana upendo kwa ndugu na rafiki zangu
8. Anavaa na kukaa ovyo mbele ya mtoto na ukizingatia ni mtoto wa kiume
Sijalipa chochote kwao japo wananijua na Ukweli sina Amani na yeye hata kdg.... NAMUOGOPA.
Natamani kumlea mtoto wangu kwa namna ninayoitaka lakini sijui la kufanya niko njiapanda.....
Semeni neno ili nijue mustakabali wa maisha yangu na mtoto wangu maana keshanivuruga akili, mwili na roho....!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitarajia akimaliza chuo nifanye taratibu za kuishi nae tulee mtoto wetu na ikibidi tuongeze.
Shida nikaanza kuiona nilipokuwa karibu nae baada ya kurudi masomoni.
1. Ana wivu wa kukera anacontrol simu zangu yani sina privacy tena
2. Ni mkorofi, mkali, mbishi hakubali kushindwa
3. Hana huruma na mimi hataki kusikia neno sina pesa... Mtagombana
4. Hapendi maisha magumu anapenda raha muda wote
5. Ni mvivu anapenda kulala na kuchezea simu
6. Ni mchafu kuanzia yeye mpaka nyumba hii inanikera sana
7. Hana upendo kwa ndugu na rafiki zangu
8. Anavaa na kukaa ovyo mbele ya mtoto na ukizingatia ni mtoto wa kiume
Sijalipa chochote kwao japo wananijua na Ukweli sina Amani na yeye hata kdg.... NAMUOGOPA.
Natamani kumlea mtoto wangu kwa namna ninayoitaka lakini sijui la kufanya niko njiapanda.....
Semeni neno ili nijue mustakabali wa maisha yangu na mtoto wangu maana keshanivuruga akili, mwili na roho....!
Sent using Jamii Forums mobile app