chamng'asi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 211
- 385
- Thread starter
- #41
Shukurani sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole sana. Kama leo mko na mtoto moja na hali iko hivyo ila mbeleni utakuja kulia sana. Wanawake wana stage tatu katika maisha ya ndoa.
Ukiona unakaa na mtu ambaye ukiwa uchi unakosa amani jua huyo si mke au mme wako.
Ninachokushauri amani ya moyo wako iyamuwe, ukiendelea kutesa moyo wako hutakuwa na ufanisi wowote katika mambo yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app