tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
binafsi, mimi siwezi kumuachia mwanangu mtu nisiyempendahuo ulikua ushauri wangu, na wewe umekuja na wakwako, sio mbaya, hatuwezi kuwaza sawa.....hivi unavyosema "chukua mwanao, achana na huyo mwanamke tafuta utakaempenda na kukulelea mtoto wako" unamaanisha huyo mtoto ni kikapu - kwamba kikichukuliwa kitanunuliwa kingine au? Unamaanisha jamaa ana uchungu na mapenzi sana na mtoto kuliko mama mzazi wa mtoto? Mi namshauri kama anampenda sana huyo mtoto basi amuache na mamake, yeye asubiri atakayempenda azae nae na wapendane daima. Mshaambiwa muwe mnafanya maamuzi ambayo mnaweza kubeba matokeo yake.