- Thread starter
- #121
wanaume wa JF kwa unafiki...
eti nao wanashangaa mwenzo ku du na asompenda...
Hivi nyie hao multiple partners mlo nao wote mnawapenda?
Na wale mnaodiriki hata kulala na ma house girls wenu huku mna wake; mnawapenda?
Kuwa realistic hapa si kujifanya ma saint kisa mwenzenu ameomba ushauri...
Kwa wanaume sex si lazima iwe sawa na love...
NYUMBA KUBWA umejibu vizuri sana,nimejaribu kupitia hizi comment nimegundua wengi wao wanajifanya ma saint kupita maelezo lakini kama ukweli ndio huo huwezi kufanya mapenzi na mtu usiyempenda kwa nini most of people if not all wana michepuko? Nadhani wengi wanacomment kwa kutazama hisia zao na itikadi zao lakini hawaangalii real situation ilivyo katika dunia ya sasa.