Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
He is my son n I do love him.lakin amezaliwa kwa mama siye!
Heee mbadilishe!!!!
He is my son n I do love him.lakin amezaliwa kwa mama siye!
Kumwangalia kama ndiyo one and only kakuzalia kidume cha mbegu kama wewe yani hapo unaweza mpenda
mmh we nawe ushauri gani huo? sometimes kama huna chakusema bora uache lipitee!!
Umakini wake ndo huo sasa... HIVI KWA MFANO ANGEINSIST UKATE KICHWA UNGEKATA..??Unajua mimi nilimkatalia kwenda dry lakini yeye ndio ali insist sana na akadai kwamba yuko makini.
Kama Mama Siye iweje wewe uwe Baba ndiye!He is my son n I do love him.lakin amezaliwa kwa mama siye!
Afu wanakuwaga magenious hawa watoto wa bahati mbaya loh alee tu mtoto suala la kumpenda huyo mama asilazimishe .
Ni hatari kwa afya yake
Ok.vipi huwezi kufanya mapenzi na mwanamke anaye mtamani? Imagine mwanamke ana muonekano sawa kabisa na Lara1 kwa maana ya figure,rangi ya ngozi na sura nzuri hata kama si kama ya Lar1 lakin cute face.vipi mwanamke wa namna hiyo huwezi kufanya naye tendo?
Afu wanakuwaga magenious hawa watoto wa bahati mbaya loh alee tu mtoto suala la kumpenda huyo mama asilazimishe .
Ni hatari kwa afya yake
Wana jf naombeni ushauri wenu najihisi kama nimepoteza.Mimi ni kijana wa miaka 27 nimetokea kuzaa na msichana nisiyempenda..sasa sijui nifanyeje ili niweze kumpenda maana hayupo moyon kabisa.