Nimezaa na nisiyempenda

Nimezaa na nisiyempenda

unalalamika kama ulibakwa.

Umeuliza swali zuri sana,nimeanzaje kumtia wakat simpendi ..right ni kwamba she was the one who spoke to me kwamba ananihitaji,of course nilimkatalia kwamba siko tayari nina mpenzi wangu(though kwa muda huo nilikuwa single)but hakutaka kuelewa kila siku akawa anaendelewa kuniplease huku analia mara kwa mara..at the end of the day nikamwambia basi tuwe marafiki wa kawaida tu.sasa katka urafik wetu wa kawaida akafanikiwa kunishawishi na mm kama binadamu nikajikuta nimeanguka so am very confused by now!!
 
Hahahaaaaa easy sana hiyo, ninalo jibu litakalo kusaidia ila jibu kwanza swali langu... ulimuomba pap**hi yake ili iweje???
 
Binafsi siwezi kufanya mapenzi na mwanamke nisiyempenda. Mada hii hainiingii akilini.
 
Binafsi siwezi kufanya mapenzi na mwanamke nisiyempenda. Mada hii hainiingii akilini.

Mmmh! Haya tumesikia,I am curious though kujua definition yako ya "kupenda", hivi kutamani na kupenda ni tofauti brother?
 
Watu wanataka ndoa kwa nguvu jamani. Me nahisi hata hiyo mimba alikutegeshea makusudi tu. Kazi ipo kwako sasa kusuka au kunyoa, but usijilazimishe kumuoa mtu kwa sababu ya mtoto. Ukishindwa kujifunza kumpenda huyo binti basi muache tu.
 
Mungu alisema mshahara wa dhambi ni mauti pia alisema wapendeni adui zenu pia alisema mpende jirani yako kama nafsi yako...kwa hayo mafungu majib ya maswali yako yamejibiwa sawia over...!!
 
Unakwepa nini hapo matumizi ya mtoto au ya mama na mtoto, ni upuuzi mkubwa kuzaa na mwenza then unalalama haumpendi, mara alikulazimisha namengine mengi, unampango wa kuwa shoga nini? Kwani hauhitaji kumsema mama wa mwanao as if unauhakika mia kwa mia huyo utakae mpata atakupenda, tunaanza kutamani kwanza then upendo hufuata kulingano kuheshimiana na kila mmoja anavyo mjali mwenza otherwise utaliwa wewe.
 
Unajua humpendi halafu unavua shati, suruali, boksa, viatu na kubaki mtupu

Unamgegeda magoli kadhaa...

Wakati unamgegeda ulijua itatokea nini? Mchicha?

kitendo cha kubaki mtupu na kuunganisha kifanyio chake na chako tayari inaonyesha kumpenda.

Ikubali hali halisi na upendo utakua
 
Mmmh! Haya tumesikia,I am curious though kujua definition yako ya "kupenda", hivi kutamani na kupenda ni tofauti brother?

Tofauti ni kubwa sana ndugu yangu haujuhi.

Ukisikia mimi na lara 1 tumeamuwa kuwa na mtoto au watoto basi si kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu ya kupendana. Nilishamtamani siku nyingi ila stage hiyo hatupo tena.
 
Last edited by a moderator:
Tofauti ni kubwa sana ndugu yangu haujuhi.

Ukisikia mimi na lara 1 tumeamuwa kuwa na mtoto au watoto basi si kwa bahati mbaya bali ni kwa sababu ya kupendana. Nilishamtamani siku nyingi ila stage hiyo hatupo tena.

Ok.vipi huwezi kufanya mapenzi na mwanamke anaye mtamani? Imagine mwanamke ana muonekano sawa kabisa na Lara1 kwa maana ya figure,rangi ya ngozi na sura nzuri hata kama si kama ya Lar1 lakin cute face.vipi mwanamke wa namna hiyo huwezi kufanya naye tendo?
 
Last edited by a moderator:
Ukamtongoza akakubali, ukaomba papuchi akakwambia hii hapa chukua. Ukaichukua na kumwambia unataka kutumia ndom akakwambia ndom yeye hasikii utamu ukamkubali mkaingia uwanjani peku peku na kujirusha kwa raha zenu. Akapata uja uzito ukategemea utakuwa wa mtu mwingine. Mtoto kazaliwa na unafanana naye kama chupa za bia zinavyofanana, umeshindwa kumkana Sasa unadai mrembo hukumpenda!!!! Acha ujinga banaaa!!! Be a man and accept your responsibilities.

Wana jf naombeni ushauri wenu najihisi kama nimepoteza.Mimi ni kijana wa miaka 27 nimetokea kuzaa na msichana nisiyempenda..sasa sijui nifanyeje ili niweze kumpenda maana hayupo moyon kabisa.
 
Back
Top Bottom