Dawa ya Deni ni kulipa mkuu, NO SHORTCUT

Bado wale mnaokopa benki hii, hati zenu OG ziko benki ile.
Kilio chenu kinakuja soon, na hizi sheria za namba ya nida kila a/c ndo zitawasagia wengi kunguni hamtaamini

.
Naskia
BOT sahivi wameyaunganisha mabenki yote, na wakopaji wote kwenye mkeka wapamoja.
Yaan
Ukiwa na kimeo NMB kinasomeka CRDB,Tpb kote Hadi DTB.
Ukitaka kukopa nmb bado unadeni crdb, unaambiwa Kwanza kamalize kile kimeo chako CRDB Kisha ndo uje Tena. INAUMIZA SANA
imemkuta iyo jirani mmoja mwezi wa 10 mwaka Jana pale NMB magomeni
Mkuu,
Hapo KICHWA LAZIMA KIWAKE MOTO.
Sent using
Jamii Forums mobile app