Nimeweka chumvi laptop!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,370
39,186
Kweli sasa najua niko addicted na computer.. pembeni kuna sahani ya wali na njegere, na laptop; wali haukukolea chumvi nimeenda jikoni nimechukua chumvi kwenye kidubwasha chake cha vitundu.. sina hila wala lile nikaanza kunyunyiza laptop!

Yaani...
 
..duh! yani laptop imekuwa tamu kuliko wali na njegere!

..sasa,umeifuta au umeilamba? baada ya kugundua kuwa uwezi kuichota laptop kwa kijiko!

..lmao!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom