Mjusi Sharobalo
JF-Expert Member
- Sep 4, 2025
- 8,265
- 14,520
Karibu sana jukwaani binti, pia nikukaribishe kanisani kwetu hapa St Andrew kesho kutakuwa na ibada maalumu, baada ya ibada kutakuwa na karamu ya bwana, nyama choma, soseji, pilau na kabia kwa mbali vitakuwepo bure kabisa.