Nimewamiss mno watu wa humu

Nimewamiss mno watu wa humu

Marry Diana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
970
Reaction score
2,360
Shikamooni wakubwa wa humu ndani.

Jaman nimewamiss mno , wapo wachache nimebahatika kukutana nao na hata wale ambao sijawahamu ,naamini ipo siku tutakutana.

Namiss utani,vicheko na baadhi ya vitu vingi vya kufurahisha.

Lakini poleni Kwa matatizo na shida zote zinazoendelea ,naamini Mungu ni mwema kila kitu kitakaa sawa,Kwa wale waliopoteza ndugu na jamaa Mungu awape faraja pia.
Hakuna kifo kisochokuwa na sababu.

Leo nimeingia tena JamiiForums baada ya siku nyingi kupita.

Nawapenda, karibuni
 
Shikamooni wakubwa wa humu ndani.

Jaman nimewamiss mno , wapo wachache nimebahatika kukutana nao na hata wale ambao sijawahamu ,naamini ipo siku tutakutana.

Namiss utani,vicheko na baadhi ya vitu vingi vya kufurahisha.

Lakini poleni Kwa matatizo na shida zote zinazoendelea ,naamini Mungu ni mwema kila kitu kitakaa sawa,Kwa wale waliopoteza ndugu na jamaa Mungu awape faraja pia.
Hakuna kifo kisochokuwa na sababu.

Leo nimeingia tena JamiiForums baada ya siku nyingi kupita.

Nawapenda, karibuni
 

Attachments

  • img_1_1760283522108.jpg
    img_1_1760283522108.jpg
    67.1 KB · Views: 8
Shikamooni wakubwa wa humu ndani.

Jaman nimewamiss mno , wapo wachache nimebahatika kukutana nao na hata wale ambao sijawahamu ,naamini ipo siku tutakutana.

Namiss utani,vicheko na baadhi ya vitu vingi vya kufurahisha.

Lakini poleni Kwa matatizo na shida zote zinazoendelea ,naamini Mungu ni mwema kila kitu kitakaa sawa,Kwa wale waliopoteza ndugu na jamaa Mungu awape faraja pia.
Hakuna kifo kisochokuwa na sababu.

Leo nimeingia tena JamiiForums baada ya siku nyingi kupita.

Nawapenda, karibuni
Unapigwa Paipu
 
Shikamooni wakubwa wa humu ndani.

Jaman nimewamiss mno , wapo wachache nimebahatika kukutana nao na hata wale ambao sijawahamu ,naamini ipo siku tutakutana.

Namiss utani,vicheko na baadhi ya vitu vingi vya kufurahisha.

Lakini poleni Kwa matatizo na shida zote zinazoendelea ,naamini Mungu ni mwema kila kitu kitakaa sawa,Kwa wale waliopoteza ndugu na jamaa Mungu awape faraja pia.
Hakuna kifo kisochokuwa na sababu.

Leo nimeingia tena JamiiForums baada ya siku nyingi kupita.

Nawapenda, karibuni
Karibu tena jukwaani Marry
 
Back
Top Bottom