Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

Nimevumilia sasa nimeona nitafute mchumba

Endelea kumsubiri miss chagga hapo Hugo house huku ukiendelea kujibu pm. This is too low for me to handle bwana mdogo.

Mi Bwana mdogo njoo Kwa PM nkuelekeze nilipo km hujarudi kuleta habari kwa wanajamii Hapa
 
Last edited by a moderator:
Mi Bwana mdogo njoo Kwa PM nkuelekeze nilipo km hujarudi kuleta habari kwa wanajamii Hapa



hahaaa nipo na mke wangu hapa,. Endelea na wa pm utawapata. ukiwakosa hapa nenda pale uwanja wa fisi. Miss Chagga hajafika tu? Angalia muhudumu mmoja akusaidie maana huyu miss chagga kishakutosa, kapanda range sasa hiv
 
Last edited by a moderator:
hahaaa nipo na mke wangu hapa,. Endelea na wa pm utawapata. ukiwakosa hapa nenda pale uwanja wa fisi. Miss Chagga hajafika tu? Angalia muhudumu mmoja akusaidie maana huyu miss chagga kishakutosa, kapanda range sasa hiv

Mi siendi tena sitaki mie
 
Last edited by a moderator:
Hivi wewe frankclemence mbona unakuwa mpumbavu sana, unaposema degree ya social issues hata kama ni 2" HUJUI HAPA UMETUONYESHEA DHARAU ZA KUFA MTU, umeshaniharibia siku hebu na wewe upload CV yako tuone.
 
Hivi wewe frankclemence mbona unakuwa mpumbavu sana, unaposema degree ya social issues hata kama ni 2" HUJUI HAPA UMETUONYESHEA DHARAU ZA KUFA MTU, umeshaniharibia siku hebu na wewe upload CV yako tuone.

Mi mpumbavu au siyo,Kwani we unatakaje Kama huna degree ya social issues si unapita kando au Vipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom