Nimeumizwa

kuwa makini usi give up mapema yamkini anakujaribu tu akuone reaction yako au labda kuna kitu umemkera akakwambia hivyo makusudi..........jaribu kuongea naye ikishindikana jaribu kutumia watu ili kuwasuluhisha
 
Naona umefanya tafsiri ya moja kwa moja ya utani ndani yake!

Nadhani umenielewa!

Kama wewe ulishawahi "kuutoa moyo wako kwa mwanamke", kwa hakika haiwezekana kuwa " bado ungali hai "...!
 

Huku KUJIVUA GAMBA ndo kunaresult MWANAUME MMOJA ANAWAUMIZA WANAWAKE HATA 20!!!!!!!!THE SAME WAY, SAME STYLE, SAME TIME!!!!!!!!!!!! BAD ENOUGH THEY ALWAYS GET AWAY WITH IT!!!!!!!

Nasema hiviiiiiiii!!!!!!!!!!! KOMESHA UFISADI KATIKA MAPENZI!!!!!!!!! Kukimbia tatizo sio kusolve!!!!!!!! FIGHT BACK FOR YOUR SELF, YOUR WOMANHOOD, YOUR SOCIETY!!!!!!!!!

Fisadi moja UKILIPA DOZI NENE linanyooka HUTOKAA USIKIE KAUMIZA MTU MWENGINE KAMWE!!!!!!!!! Bila hivo ni kucheza mdako!Kama huyo MAZAFANTA wa mleta mada 3 YERS OF MARRIAGE ATAMWAMBIA HUYO MWANAMKE MWENGINE BANAAAA EEH! TUSIZEESHANE!!!!!!!!! CHUKUA TIME ZAKO!!!!!!! (Yale yale!!!!! yanajiruida)

HELA/ BIASHARA NI TOFAUTI KABISAAAAAA NA MAPENZI!!!!!!!!!!!!!!! KABISA KABISAAAAA!!!!!!!! UTILITY YA KUPENDWA NI QUITE DIFFERENT NA SATISFACTION YA KUKAMATA VUMBA!!!!!!!! MIMI BIASHARA NAFANYA NA KAZI, N I NEVERRRRRR MIX THESE WITH MY RELATIONS!!!!!!!!!!! ILA SIWEZI KULETEWA USENGERY KWENYE MAPENZ ALAFU ETI NIMALIZIE HASIRA KWENYE BUSINESS!!!!!!!!!!!!!! NGUMU KUMEZA AISEEEEEEEEEEEE!!!! SWALA LA MSINGI HATA UKIWA NA DUNIA NZIMA HATOSHI KULIPIA YOUR BROKEN HEART NA UNFULLFILLED FEEELINGS NA NEEDS TOWARDS MPENZIO!!!!!!!!!! NDO MAANA NASISITIZA THERE IS NO SUBSTITUTION/COMPENSATON YA KUTENDWAAAAA!!!!!!!! (ITS ALL ABOUT BROKEN TRUST)

PEOPLE SHOUL PAY DEARLY FOR THE CRIMES THEY COMMIT!!!!!!!!!!!! PERIOD
 

MSHEEEEEEEEEEEW!!!!!!!!!!!!! Hilo SONYO nia la hapo NILIPO BOLD!!!!!!!! OVER MY FUC*KING DEAD BODY!!!!!!!!! MUACHE USIMUULIZE CHOCHOTE MY BIG FAT AS*

Yaani mtu aje AJAMBIE MAISHA YANGU AFU AONDOKE!!!!!!! CHINEKEEEEEEEEEEEEEEE!!!! I WILL UNLEASH ALL HELL ON HIM!!!!!!1 GOD FORBIB OOOOOOOOOOOOOOOOOOOOH!!!!!!

Maisha si kitu cha mchezo weweeeee! WE ONLY LIVE ONCE, N IF YOU LIVE WELL ONCE IS ENOUGH!!!!!!!!!! I COLLECT ALL MY DEBTS IN DUE TIME!!!!!! Nyie endeleeni tu kusamehe.
 
Anakutishia tu huyo ili aone reaction yako, unjua sasa wewe ufanyeje nenda pale kwake anapoishi tishia kujiua kwaajili yake, atabadili msimamo wake. Nakuona kweli uanamenda

wewe hujaelewa huyo jamaa yupo serious na hiyo approach yako siyi kabisa
mi noionanvyo huyo kapata kidemu na yuko serious nacho yeye miaka yote hiyo
mwenzake kaja na nguvu mpyaaa
sasa mleta mada atambue huyo si wake si ridhiki yake kabisa
bado hajakutana na wakwake
 
bado una safari ndefu sana jikaze,usiendekeze kuumia,mpaka utakapofikisha miaka 35 ndio utakuja elewa kumbe ulikua unapoteza muda wako mwingi katika mapenzi.komaa soma tafuta kazi ya kueleweka jipange kimaisha,mapenzi kuachwa na kuacha is a daily drama.mi nna 35 sasa nshaacha na kuachwa km mara 50 hivi.nshakuwa sugu:bowl:
 
mwimbie huu wimbo
Remember When by Alan Jackson (Lyrics) - YouTube
Remember when I was young and so were you
And time stood still and love was all we knew
You were the first, so was I
We made love and then you cried
Remember when

Remember when we vowed the vows and walked the walk
Gave our hearts, made the start, it was hard
We lived and learned, life threw curves
There was joy, there was hurt
Remember when

Remember when old ones died and new were born
And life was changed, disassembled, rearranged
We came together, fell apart
And broke each other's hearts
Remember when

Remember when the sound of little feet
Was the music we danced to week to week
Brought back the love, we found trust
Vowed we'd never give it up
Remember when

Remember when thirty seemed so old
Now lookin' back, it's just a steppin' stone
To where we are, where we've been
Said we'd do it all again
Remember when

Remember when we said when we turned gray
When the children grow up and move away
We won't be sad, we'll be glad
For all the life we've had
And we'll remember when

Remember when
Remember when
 
POLE SANA DADA CHA MSINGI NA SECONDARI KTK MAISHA NEVER FIGHT BECOZ OF A MAN KAMA HAIKUWA RIDHIKI YAKO ACHANA NAYO GANGA MBELE NA MAISHA YAKO UTAMPATA WA KUKUPENDA NA UTAISHI NAYE 2.AMINI WW NI MREMBO SO KUNA WATU WANGEPENDA KUWA NA WW.:confused2:
 

Mmmh wewe kiboko kweli umekuw sugu dah
 
jipe moyo maisha ndio yalivyo na siwakwanza wewe bali wapo wengi tu waliopitia huko hata wanaokupa ushauri wengine tulisha somesha na kuachwa haijalishi ni mwanaume au mwanamke kikubwa kwenye mapenzi ni sehemu ya vurungu kama uko GAZA mlipuko kila sehemu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…