Nimeumia kuona baadhi ya wanawake wakipotoshana, wanaume waoga, ukweli ni kwamba utiifu wetu ndio umefanya tusifike Afrika kwa amani

Nimeumia kuona baadhi ya wanawake wakipotoshana, wanaume waoga, ukweli ni kwamba utiifu wetu ndio umefanya tusifike Afrika kwa amani

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,455

View: https://www.tiktok.com/@mamab_oficial/video/7558468367993130296

Hebu someni hizi comments jinsi wanavyopotoshana,

img03300.jpg


img11082.jpg


img15758.jpg


img17234.jpg


img17537.jpg


img17641.jpg


img18379.jpg


img22307.jpg


img23793.jpg


img25338.jpg


img26441.jpg


img34886.jpg


img38099.jpg


img39162.jpg


img47333.jpg


img48984.jpg


img53479.jpg


img54289.jpg


img55977.jpg


img56710.jpg


img58122.jpg


img61032.jpg


img62677.jpg


img72307.jpg


img76983.jpg


img79565.jpg


img94734.jpg
 
Wanachosema ni kweli....

Hata hii no reform no election ninaanzia kwanza ndani ya fikra na kuanzia ngazi ya chini kabisa.... Yenyewe tu hawajaielewa. We wape habari zao pendwa

1. Wape habari za mkongo
2. Simba na yanga
3. Style za kumkojoza
4. Umuhimu wa trako
5. Mbinu za kutokuhonga
6. Usioe single Maza
7. Oa bikra
9. Ni ujinga kutoa mahari
10.Niliweka mbele akachomoa akaweka nyuma!!! Daaah!! Ikawaje¡?
 
Achana nao. Hawajui kuwa Amani ikipotea wao huwa ni katika waathirika wakubwa. Sitaki hata kuimagine athari ya vita au machafuko kwa wanawake. Mitandaoni huku wakati mwengine watu wanajiandikia tu bila kufikiria vizuri.
Amani gani unayoizungumzia hapa?

Wewe ndio unaonekana kufikiria kwako ni shida.
 
Achana nao. Hawajui kuwa Amani ikipotea wao huwa ni katika waathirika wakubwa. Sitaki hata kuimagine athari ya vita au machafuko kwa wanawake. Mitandaoni huku wakati mwengine watu wanajiandikia tu bila kufikiria vizuri.
Tuelezee amani ilivyowanufaisha Mzee Ali Kibao, Mdude, Ben Saanane, Deus Soka, Azory Gwanda, Humphrey Polepole nk..
 
Amani gani unayoizungumzia hapa?

Wewe ndio unaonekana kufikiria kwako ni shida.

Sawa. Lakini tulieni ili kulinda Amani na kuchunga damu na heshima za wanawake wenu na watoto wenu. Wafikirieni watoto wenu, wapwa zenu, wadogo zenu au wajukuu zenu katika watoto wadogo na wanawake zenu. Sehemu yoyote yenye machafuko au vita huwa ni waathirika wakubwa.

Ushaona picha za watoto wa Gaza wenye njaa? Unafikiri walikuwa wanapenda kupigwa pigwa picha vile katika hali ile? Wafikirie watoto wenye njaa wa Somalia wakati ule (kama sijasahau mwaka 2011), au wa Sudan. Zile Famine zimesababishwa na nini? Amani ni Tunu jamani, tupunguze mihemko.

Wanawake na watoto wetu ni waathirika wakubwa wa machafuko na vita. Na hata sisi pia ni waathirika.

Kama unasema hakuna Amani, basi hukuiona, Libya, Syria, Yemen, Somalia, Sudan, genocide ya Rwanda au genocide ya Gaza na kadhalika. Ila kama umeziona utajua kama tuna Amani ama la?
 
Wanachosema ni kweli....

Hata hii no reform no election ninaanzia kwanza ndani ya fikra na kuanzia ngazi ya chini kabisa.... Yenyewe tu hawajaielewa. We wape habari zao pendwa

1. Wape habari za mkongo
2. Simba na yanga
3. Style za kumkojoza
4. Umuhimu wa trako
5. Mbinu za kutokuhonga
6. Usioe single Maza
7. Oa bikra
9. Ni ujinga kutoa mahari
10.Niliweka mbele akachomoa akaweka nyuma!!! Daaah!! Ikawaje¡?
Umesahau dear!
Wanachoweza sana, kupinga Ushoga. Hapa waambiwe kuandamana, hata waone wajeda wako na mitutu. Watatoka tyuh barabarani.
 
Tuelezee amani ilivyowanufaisha Mzee Ali Kibao, Mdude, Ben Saanane, Deus Soka, Azory Gwanda, Humphrey Polepole nk..

Mitihani kama hiyo kutokea haihalalishi kuivunja Amani yote na kuwaweka watu wote katika machafuko. Kuweni na busara.
 
Back
Top Bottom