Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,110
- 2,517
Pole mkuundio ukweli wenyewe huu
Maneno haya kama kayasemeya kanisani nisawa, kwani huko ndo kuna watu wanaamni pumbpumba kama hizi !!!
Ule utabiri wake alioutabiri kwamba kuna nchi moja ndani ya East Africa ambayo mwaka huu itakuwa na uchaguzi mkuu wake,Opposition watashinda lkn haitatawala!!
Inavyoonekana CHADEMA ilishinda kwa mujibu wa huo utabiri wa Mch. Joshua.
Wadau mnasemaje kuhusu hili?
Calling you stupid would be an insult to stupid people.
Call me whatever you want, such stupid statement will only be preached within your house of Lord and only such people will belive the stupidity word
gettin' all excited huh! kwahiyo yale uloandika kuwa kanisani ndo wanasikiliza pumba umeona yanafaa?
Do you want do die stupid?
Fuatilia story nyingi za huko utaona zinafanana na vimaneno vya kij"""""" kama hivyo, You live stupid life kama hutotumia akili zako badala ya kusikiliza wahubiri kama hawa
Bull when are you going to grow?such stupid statement will only be preached within your house of Lord and only such people will belive the stupidity word
Ule utabiri wake alioutabiri kwamba kuna nchi moja ndani ya East Africa ambayo mwaka huu itakuwa na uchaguzi mkuu wake,Opposition watashinda lkn haitatawala!!
Inavyoonekana CHADEMA ilishinda kwa mujibu wa huo utabiri wa Mch. Joshua.
Wadau mnasemaje kuhusu hili?
Maneno haya kama kayasemeya kanisani nisawa, kwani huko ndo kuna watu wanaamni pumbpumba kama hizi !!!
Ule utabiri wake alioutabiri kwamba kuna nchi moja ndani ya East Africa ambayo mwaka huu itakuwa na uchaguzi mkuu wake,Opposition watashinda lkn haitatawala!!
Inavyoonekana CHADEMA ilishinda kwa mujibu wa huo utabiri wa Mch. Joshua.
Wadau mnasemaje kuhusu hili?
Why CHADEMA and not CUF in Zanzibar, kule ndio kuna posibility kubwa sana kuwa maalim Seif amenyang'anywa tonge kinywani.