Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,098
- 2,459
Ule utabiri wake alioutabiri kwamba kuna nchi moja ndani ya East Africa ambayo mwaka huu itakuwa na uchaguzi mkuu wake,Opposition watashinda lkn haitatawala!!
Inavyoonekana CHADEMA ilishinda kwa mujibu wa huo utabiri wa Mch. Joshua.
Wadau mnasemaje kuhusu hili?
Inavyoonekana CHADEMA ilishinda kwa mujibu wa huo utabiri wa Mch. Joshua.
Wadau mnasemaje kuhusu hili?