CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wakuu nimefanya mauaji ya kinyama sana aise.
Kuna panya walikua wananisumbua kwa miezi3 sasa,kila nikiweka sumu nawakosa,sasa jana kuna jamaa kanipa ushauri wa bureeee kwamba nitumie ile dawa ya gundi kama PATEX kwenye njia yao,kweli bana hiii!siku mida ya night kali nikaamka kukagua tego,ebana mpaka huruma,maana nimeikuta familia yote,baba,mama na watoto wao wote,sikua na jinsi zaidi ya kuwapiga sindano za sumu wote.Ewe M/mungu nisamehe kwa kosa ili ingawa wao ndio walonianza.
Kuna panya walikua wananisumbua kwa miezi3 sasa,kila nikiweka sumu nawakosa,sasa jana kuna jamaa kanipa ushauri wa bureeee kwamba nitumie ile dawa ya gundi kama PATEX kwenye njia yao,kweli bana hiii!siku mida ya night kali nikaamka kukagua tego,ebana mpaka huruma,maana nimeikuta familia yote,baba,mama na watoto wao wote,sikua na jinsi zaidi ya kuwapiga sindano za sumu wote.Ewe M/mungu nisamehe kwa kosa ili ingawa wao ndio walonianza.