Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,551
Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...