Wana jamii:
Nimetuma pesa nje ya nchi kwa mwezi mzima mpaka sasa haijafika kila nikienda naambiwa tatizo lilikuwa address, mara ya pili baada ya wiki mbili nikaambiwa tatizo ni account no. Juzi nikaambiwa sasa kesho itafika. Leo biashara yetu imefeli kwa sababu pesa haikufika kwa sababu zizizoeleweka. Wanasheria naomba msaada Hii ikoje?
Nimetuma pesa nje ya nchi kwa mwezi mzima mpaka sasa haijafika kila nikienda naambiwa tatizo lilikuwa address, mara ya pili baada ya wiki mbili nikaambiwa tatizo ni account no. Juzi nikaambiwa sasa kesho itafika. Leo biashara yetu imefeli kwa sababu pesa haikufika kwa sababu zizizoeleweka. Wanasheria naomba msaada Hii ikoje?