ELISSA
Member
- Mar 16, 2014
- 55
- 21
Chunga laana hiyo
HAA!...duuh!...laana tena?..mmmh!...huwa sishabikii vijilaana na miiko na vijitamaduni,udini na upuzi ulopitwa na wakati....mkuu hii ni karne nyingine....duh!
Chunga laana hiyo
inaweza ikawa
Ha ha ha nimependa unavokemea....Kizazi cha nyoka hiki kinahitaji maombi. shetani ya ushoga toka kwa jina la Yesu, Shindwa na ulegee kabisa mtalimbo wako.
Kilichokuwa kinakufanya ujichekeshe ni nini?
alikuwa anafurahia kutongozwa na choko....
Habari zenu wana JF,
Siku ya jana nimekutana na mkosi wa aina yake ilikuwa mida ya saa 7 mchana nikitoka Sinza kuelekea Posta kufanya yangu .
Ndipo daladala ilipofika maeneo ya Magomeni alipanda jamaa mmoja kiukweli daladala haikuwa na abiria wengi kwani kulikuwa na siti za wazi nyingi na mimi nilikaa mwisho kabisa wa daladala cha ajabu na kilichonishangaza jamaa kaacha siti zote kaja kukaa na mimi akasema samahani kaka siti za mbele huwa sizipendi huku anachekacheka.
Akaanza kuniuliza kila kituo tukifika eti hapa ndo wapi,Maria leo fire foleni hamna,mara nimechelewa kazini nikifika tu navaa unform haraka alivyoona niko kimya akasema kaka vipi mbona we mpole hivyo nikajichekesha kidogo nikamwambia kawaida tumefika Jangwani akaanza kunitongoza kaka unaitwa nani,unaishi wapi,we ni last born nini umepanga au unaishi kwa wazazi alafu umependeza,nataka uwe mume wangu pesa ninazo.
Kiukweli uzalendo ulinishinda nilijikuta ninemfokea kwa nguvu na kumtusi matusi ya maana sijui hata yalipotoka hayo matusi aibu ilimjaa sana jamaa ikawa habari ndani ya daladala.
Ilinibidi nishuke kituo ambacho sikupashwa kushuka,watu wengine mikosi sana.
HAA!...duuh!...laana tena?..mmmh!...huwa sishabikii vijilaana na miiko na vijitamaduni,udini na upuzi ulopitwa na wakati....mkuu hii ni karne nyingine....duh!
Na kweli.
Jitu zima unacheka cheka ili iweje.