Nimetongozwa na shoga

Nimetongozwa na shoga

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
810
Habari zenu wana JF,

Siku ya jana nimekutana na mkosi wa aina yake ilikuwa mida ya saa 7 mchana nikitoka Sinza kuelekea Posta kufanya yangu .

Ndipo daladala ilipofika maeneo ya Magomeni alipanda jamaa mmoja kiukweli daladala haikuwa na abiria wengi kwani kulikuwa na siti za wazi nyingi na mimi nilikaa mwisho kabisa wa daladala cha ajabu na kilichonishangaza jamaa kaacha siti zote kaja kukaa na mimi akasema samahani kaka siti za mbele huwa sizipendi huku anachekacheka.

Akaanza kuniuliza kila kituo tukifika eti hapa ndo wapi,Maria leo fire foleni hamna,mara nimechelewa kazini nikifika tu navaa unform haraka alivyoona niko kimya akasema kaka vipi mbona we mpole hivyo nikajichekesha kidogo nikamwambia kawaida tumefika Jangwani akaanza kunitongoza kaka unaitwa nani,unaishi wapi,we ni last born nini umepanga au unaishi kwa wazazi alafu umependeza,nataka uwe mume wangu pesa ninazo.

Kiukweli uzalendo ulinishinda nilijikuta ninemfokea kwa nguvu na kumtusi matusi ya maana sijui hata yalipotoka hayo matusi aibu ilimjaa sana jamaa ikawa habari ndani ya daladala.

Ilinibidi nishuke kituo ambacho sikupashwa kushuka,watu wengine mikosi sana.
 
habari zenu wana jf,
siku ya jana nimekutana na mkosi wa aina yake ilikuwa mida ya saa 7 mchana nikitoka Sinza kuelekea Posta kufanya yangu ndipo daladala ilipofika maeneo ya Magomeni alipanda jamaa mmoja kiukweli daladala haikuwa na abiria wengi kwani kulikuwa na siti za wazi nyingi na mm nilikaa mwisho kabisa wa daladala cha ajabu na kilichonishangaza jamaa kaacha siti zote kaja kukaa na mim akasema samahan kaka siti za mbele huwa sizipendi huku anachekacheka akaanza kuniuliza kila kituo tukifika eti hapa ndo wp,mara leo fire folen hamna,mara nimechelewa kazini nikifika tu navaa unform haraka alivyoona niko kimya akasema kaka vp mbona we mpole hivyo nikajichekesha kidogo nikamwambia kawaida tumefika Jangwani akaanza kunitongoza kaka unaitwa nan,unaishi wp,we ni last born nn umepanga au unaishi kwa wazazi akafu umependeza,nataka uwe mume wangu pesa ninazo.kiukweli uzalendo ulinishinda nilijikuta ninemfokea kwa nguvu na kumtuc matuc ya maana sijui hata yalipotoka hayo matuc aibu ilimjaa sana jamaa ikawa habar ndani ya daladala.ilinibidi nishuke kituo ambacho sikupashwa kushuka,watu wengine mikosi sana.[/QUOT
Kwa hiyo ulikua unatakaje sasa......kama ukitongozwa tulia kijana sio lazima utangaze. Jibu unalo wewe kumkubalia au kumkatalia. Very simple.
 
Kilichokuwa kinakufanya ujichekeshe ni nini?
 
Hahahahahahaahaaha,

Lols, nilikuwa sijaona signature yako.

Teh teh teeeeeeeh.

Kinachokufanya ucheke ni nini!!!!!???????
Watu wana save threads na comments ujue ngoja siku nikuwekee majibu unayotoaga humu!!!!!!!
 
Evelyn Salt said:
So kutongozwa tu ndo utangaze heeeee
ungekuwa wa kike ingekuwa ni tabu hapa

Kwaio mlitaka atongozwe na gay
 
habari zenu wana jf,
siku ya jana nimekutana na mkosi wa aina yake ilikuwa mida ya saa 7 mchana nikitoka Sinza kuelekea Posta kufanya yangu ndipo daladala ilipofika maeneo ya Magomeni alipanda jamaa mmoja kiukweli daladala haikuwa na abiria wengi kwani kulikuwa na siti za wazi nyingi na mm nilikaa mwisho kabisa wa daladala cha ajabu na kilichonishangaza jamaa kaacha siti zote kaja kukaa na mim akasema samahan kaka siti za mbele huwa sizipendi huku anachekacheka akaanza kuniuliza kila kituo tukifika eti hapa ndo wp,mara leo fire folen hamna,mara nimechelewa kazini nikifika tu navaa unform haraka alivyoona niko kimya akasema kaka vp mbona we mpole hivyo nikajichekesha kidogo nikamwambia kawaida tumefika Jangwani akaanza kunitongoza kaka unaitwa nan,unaishi wp,we ni last born nn umepanga au unaishi kwa wazazi akafu umependeza,nataka uwe mume wangu pesa ninazo.kiukweli uzalendo ulinishinda nilijikuta ninemfokea kwa nguvu na kumtuc matuc ya maana sijui hata yalipotoka hayo matuc aibu ilimjaa sana jamaa ikawa habar ndani ya daladala.ilinibidi nishuke kituo ambacho sikupashwa kushuka,watu wengine mikosi sana.

ha ha ha ha ha aya mkuu... usiwe unachekea huwa wanabaka shauri yako
 
Wa.se.nge utawajua tu kwa majibu yao!
 
Ujue na wewe kakuambukiza ushoga, jitizame, kiouno kishapanda juu kama kimetundikwa kwenye msumari.
 
mmmmmmmmmmmh uuuupsi

hajakutajia jina lake???

kama una picha tuwekee ili tukimwona tumkimbie hawezi kukuambia hivi
 
Back
Top Bottom