Nimetolewa kafara. Wenye maovu msijali!

Nimetolewa kafara. Wenye maovu msijali!

Xperience

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2012
Posts
278
Reaction score
51
Tangu 2008 kuna sauti inaongea nami na kuumiza ubongo. Nimeiambia iniache ikakataa na kusema siwezi kukuacha kwani hatathubutu pia kuwafuata wenye pesa ambao wana maovu. Nimetolewa kafara mwenzenu. Nimemtag Lizaboni aniombee radhi kwa hii sauti.
 
Lizaboni kivipi tena?? Kwani hiyo sauti inafanana na ya EL?
Anyway, hakuna kafara hapo..DSM-IV TR (diagnostic tool ya psychiatrics) inaonyesha utakuwa na tatizo moja linaitwa Paranoid Schizrophrenia ambayo huwq charactarised na halucinations na dillusions (kuona vitu au kusikia sauti ambazo hazipo..)
 
Kwa kawaida mtu anayeongea kwa mafumbo hana msaada kwenye jamii. Funguka ili usaidiwe
 
Tangu 2008 kuna sauti inaongea nami na kuumiza ubongo. Nimeiambia iniache ikakataa na kusema siwezi kukuacha kwani hatathubutu pia kuwafuata wenye pesa ambao wana maovu. Nimetolewa kafara mwenzenu. Nimemtag Lizaboni aniombee radhi kwa hii sauti.

SAMAHANI KUKUULIZA, HUWA UNAKUNYWA KIROBA MCHANA?
 
Lizaboni kivipi tena?? Kwani hiyo sauti inafanana na ya EL?
Anyway, hakuna kafara hapo..DSM-IV TR (diagnostic tool ya psychiatrics) inaonyesha utakuwa na tatizo moja linaitwa Paranoid Schizrophrenia..
Afadhali Daktari umeingia. Msaidie huyo kijana maana ugonjwa wake umefikia pabaya
 
Gongo alizokuwa anataka kuhalalisha Dr Slaa pindi CHADEMA wangeshinda Urais zinamlewesha

Hivi moderators hawana ka-software ka kugundua kama kale ka matraffic kugundua kuwa huyu aliyeandika kakolea gongo
 
Hivi moderators hawana ka-software ka kugundua kama kale ka matraffic kugundua kuwa huyu aliyeandika kakolea gongo
Nadhani mods hawana hako ka software. Ndo maana wanywa gongo na viroba wamejazana humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom