Seibaba
Senior Member
- Mar 5, 2019
- 107
- 88
Hongera SanaKuna manzi nimekutana naye leo jioni hii saa moja hapa ofisini kwangu, nikaomba namba kanipa baada ya sms mbili tatu katiki kaingia kwenye laini.
Nikamuomba tukutane nikishafunga ofisi saa tatu ili tuongee vizuri akakubali, muda ulivyofika saa tatu na dakika 45 nikafunga ofisi nikamtext akaja chap tukakutana sehemu sio mbali na ofisi.
Tukawa tunatembea huku tunapiga story hatua kidogo mbele tukakutana na nyumba isiyoisha (pagare) nikamwambia tusogee pale dakika 0 tuongee vizuri barabarani jau watu wanapita sana.
Akakubali tukasogea tulivyofika si nikamkumbatia kwa nyuma huku tunaongea baada ya joto kukutana mzuka nikamuomba game kibishi katiki akainama nikaweka kimoja chap. Nilivyomaliza tu nikamsindikiza kwao na sasa hivi mi niko gheto hapa napanga kwenda kuoga.
Cc Zero
Sent using Jamii Forums mobile app