Nimetoa boko wakuu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acheni ujingaa, huyu jael sijui anampango gani na mimi kutaka kupeperusha ndege wangu, anataka nife single [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mwanangu huyo mtoto wa nani ambae wazazi wake wamemchoka hivyo wa kuolewa na wewe? Ungekua na nguvu hata ningesema nianzishe bustani ya mapapai uwe unayamwagilia ila ndio vile tena[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Hahah,

Nakushauri kama ni kiguu na njia vaa tu, maana we una damu ya papai ujue
 
Ndio maana nipo zangu bar napiga bia,kifo kipo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…