The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,540
Nimetimiza ahadi, R.I.P KADI YA CHADEMA.
View attachment 142561
Mimi si kama Mbowe alitangaza hadharani kuwa hachukui gari ka serikali lakini alikwenda kinyere kulichukua,,,ametufanya watanzania wajinga,,,namshukuru mungu kwa kutimiza ahadi yangu, kwa hili nimejitafautisha na Mbowe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwanza-ni-kuipiga-kibiriti-kadi-chadema.html
Njano5.
0784845394.
Wote wasakatonge tu njaa ndo inawasumbua na maslahi binafsi wanafiki