Nimetimiza ahadi, RIP kadi ya CHADEMA

Nimetimiza ahadi, RIP kadi ya CHADEMA

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,985
Reaction score
1,286
Nimetimiza ahadi, R.I.P KADI YA CHADEMA.

choma moto.jpg

Mimi si kama Mbowe alitangaza hadharani kuwa hachukui gari ka serikali lakini alikwenda kinyere kulichukua,,,ametufanya watanzania wajinga,,,namshukuru mungu kwa kutimiza ahadi yangu, kwa hili nimejitafautisha na Mbowe.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwanza-ni-kuipiga-kibiriti-kadi-chadema.html

Njano5.
0784845394.
 
Acha kutafuta umaarufu hakuna anayekujua wewe mbulula.
 
sasa mtu mmoja kuwa id's tano ndio nini? au unataka kujicoment mwenyewe?
 
Nimetimiza ahadi, R.I.P KADI YA CHADEMA.

View attachment 142561

Mimi si kama Mbowe alitangaza hadharani kuwa hachukui gari ka serikali lakini alikwenda kinyere kulichukua,,,ametufanya watanzania wajinga,,,namshukuru mungu kwa kutimiza ahadi yangu, kwa hili nimejitafautisha na Mbowe.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwanza-ni-kuipiga-kibiriti-kadi-chadema.html

Njano5.
0784845394.

Ungefanya cha maana sana na ningekuona wewe ni shujaa kama ungejimiminia pipa la petrol na ukajipiga kiberiti wewe mwenyewe.
Hizo karatasi kila mtu anazo
 
unachoma moja,mamia wanajiunga cdm kuendeleza vita ya ukombozi!!!! kafie mbele na hizo njaa zako!!!!
 
Nimetimiza ahadi, R.I.P KADI YA CHADEMA.

View attachment 142561

Mimi si kama Mbowe alitangaza hadharani kuwa hachukui gari ka serikali lakini alikwenda kinyere kulichukua,,,ametufanya watanzania wajinga,,,namshukuru mungu kwa kutimiza ahadi yangu, kwa hili nimejitafautisha na Mbowe.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwanza-ni-kuipiga-kibiriti-kadi-chadema.html

Njano5.
0784845394.

mwaka huu masalia mtakufa kwa vihoro,,chezea cdm weye!!!?????
hivi act na ccm ni mtu na mkewe????
 
Chama cha deesi na mavuno (chadema) kama utaki pigana
 
mwaka huu masalia mtakufa kwa vihoro,,chezea cdm weye!!!?????
hivi act na ccm ni mtu na mkewe????

Mwambie mbulutula aende kwao, mnatafutaga umaarufu. Usiokuwa wenu, peleka matatizo tusioyahitaji. Bunge la katiba likiendelea wazee chchem wapenda kuonekana chali. Ndani kwako unashida unangangania kuwadhibiti wenzio kwamsimamo wa kuladhimishwa. Aende achome na magwanda basi mbn hata kadi anachoma kwa maonyesho. Mwisho wa Wabaya AIBU waone bu.ge la katiba
 
Nimetimiza ahadi, R.I.P KADI YA CHADEMA.

View attachment 142561

Mimi si kama Mbowe alitangaza hadharani kuwa hachukui gari ka serikali lakini alikwenda kinyere kulichukua,,,ametufanya watanzania wajinga,,,namshukuru mungu kwa kutimiza ahadi yangu, kwa hili nimejitafautisha na Mbowe.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwanza-ni-kuipiga-kibiriti-kadi-chadema.html

Njano5.
0784845394.

Kwa hiyo hoja yako ni kutotumia gari la serikali tu! Unatakiwa kupimwa siyo mzima.............!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom