Jamani mwenzenu nahitaji faraja ya mwanamke wa kuniliwaza. Nimetendwa na mke wangu
Reference pliz...Two wrongs never make a right!!!!!!!!!
Jamani mwenzenu nahitaji faraja ya mwanamke wa kuniliwaza. Nimetendwa na mke wangu
Umetendwa nini na mkeo?Wakati unaenda kuoa hukufunzwa namna ya kufanya inapotokea matatizo katika familia yako?Jamani mwenzenu nahitaji faraja ya mwanamke wa kuniliwaza. Nimetendwa na mke wangu
Sasa kama mkeo tu anakushinda wa nje utawawezea wapi...be a man!!!
Hayatuhusu.
Sasa kama mkeo tu anakushinda wa nje utawawezea wapi...be a man!!!
akiwa anapiga hit and run ni safe zaidi
kaka mademu wa nje ni pasua kichwa sana...mke ni rahisi kumcontrol!!!
mi bana nikiwa nahamu nahit na kurun kuhandle demu it is too expensive, unagongomeka unampa chake unasepa na namba yako unafuta kwake asije akakusumbua tena