snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
Joseph napenda sana namna yako ya kufikiriUmetendwa nini na mkeo?Wakati unaenda kuoa hukufunzwa namna ya kufanya inapotokea matatizo katika familia yako?
Ukitafuta wa kukuliwaza ndio maumivu yako ya kutendwa yataisha?
Tulia mwanaume mwenzangu na fanya mambo ya ujasiri kwa kuchukua hatua stahili.
Last edited by a moderator: