Tamatheo
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,298
- 1,562
Tuliza akili ndugu bado asubuhi sana, kama unafikiri kupata mwanamke umesolve tatizo sasa kuna TAKE AWAY kila junction nenda kajichukulie. To me sifikiri kama njia unayotumia itakusaidia zaidi unataka kumaliza maisha yako kwa jumla na mwisho utajuta. Kaa chini tafakari yaliyokusibu na useme na moyo wako kama bado kuna chembe ya msamaha imesalia then ufanye maamuzi kama mwanamme.