City hunter j
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 926
- 380
diva anasemaga if a ur man cheat u,take his friend
Tangu valentine's day mpaka leo uko hai ujue maisha bila yeye yanawezekana,ishi maisha yako mamy na wala usijisumbue kuitafuta hiyo namba mpya.
Kuna siku isiyo jina atakuja tu ajifanye amemaliza project za huko vijijini hapo ndio uhakikishe unampa za uso na mkono wa kwa heri juu!!
Likuepukalo una heri nalo
team bazazi at work, hahahahahahhausimlilie asie kulilia we ni PM mimi nitaziba hako kapengo kake mbona kadogo tu
Ndugu unayapenda matukio ya picha xana
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi
mhh! Sithemi kitu mie
nimependa majb yako
diva anasemaga if a ur man cheat u,take his friend
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi
Binti ukilia hujasolve tatizo kwa kumtumia rafiki yake utajua hatma yoko.
afu kwan huyo mwanaume anatatizo la kutojiamin hv hawez kuachana na mwanamke kiroho safi tu?? nadhan angekwambia ukwel kubadilisha no, sio sln
asiyefanya kazi na asile