Nimetendwa jamani

Nimetendwa jamani

Tangu valentine's day mpaka leo uko hai ujue maisha bila yeye yanawezekana,ishi maisha yako mamy na wala usijisumbue kuitafuta hiyo namba mpya.
Kuna siku isiyo jina atakuja tu ajifanye amemaliza project za huko vijijini hapo ndio uhakikishe unampa za uso na mkono wa kwa heri juu!!
Likuepukalo una heri nalo

yani umeongea yaliyokua akilini mwangu.azingatie huo ushauri.
 
Kalale kwanza, ukiamka urudi hapa, unaonekana hata kimaandish kua hujapumzika vema...
 
Nimekupim tuwasiliane acha kulazimisha penzi ukishaambiwa hutakiwi tu jua kuna mtu hapo
 
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi

polee
pili punguza kuokota okota wakiume..tafuta wanaume
tatu kama haya yote ((meet up nd dating)) yametokea in one year ..mytake..its a crush u will get ova it
 
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi

Fanya kazi kuanza upya si ujinga tulia panga plann usikulupuke utatendwa tena kuwa na muda wa kupanga malengo yako wanaume wapo tu shukuru mungu umeona dalilil zake mapema sana.
 
dawa ya moto ni moto.shusha bendera pandisha nyngne.mana utakufa kwa presha bado mdgo afu cku hakuna mapenzi ni ulafi tu
 
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi

pole sana kutendwa sikia kwamwenzio ila yasikukute .

kuna kijimsemo kinasema ukiona umetendwa jua kuna MTU kapendwa??

mapenzi sasa hivi ni kichwani tumia akili na sio kutumia roho/moyo?
 
Mimi ni msichana nilitokea kumpenda kijana mmoja sana kiasi ambacho sikuwahi kuhis kama naweza kuishi bila yeye but yamenikuta,kuanzia valentine asubuhi alinitumia sms ananipenda sana ila anaondoka anaenda huko vijijini kuna project anafanya since that day hajapatikana mpaka leo,nikaona nimuulize rafiki yake ananiambia mbona kabadilisha namba na hataki nimpe mtu,nimelia usiku mzima sijalala naumia jamani hata nashindwa kufanya kazi

pole mumy.. now yu know how much he loves yu eeh!
sasa tulia be glad kabadilisha namba..ushalia na kushare hum jamvin naamin imekupunguzia hasira kidogo..sasa kaza moyo take it as a lesson n life goes on. period!
 
Binti ukilia hujasolve tatizo kwa kumtumia rafiki yake utajua hatma yoko.

afu kwan huyo mwanaume anatatizo la kutojiamin hv hawez kuachana na mwanamke kiroho safi tu?? nadhan angekwambia ukwel kubadilisha no, sio sln

umeona eeh ni muoga anamapenz y kishule shule tuu.... asikuwazishe wala nini. songa mbele bint eeh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom