Nimetembea na mama na binti yake

Imagine wewe ndio huyo Mzee au mkeo ndio huyo mama na wewe unasoma hio habari hapa JF, ndugu zangu huu ushababi usio na kichwa wala miguu siku moja utajirudia wamarekani wanamsemo kalma is a B*ch


Hapa tunatumia avatar, fake names ili kuzuia vitu kama hivyo visitokee
 


Nampenda ila yupo mbali, na mda mwingine nazidiwa kama mwanaume, hata hivyo sitaki ajue kwa sababu mahusiano yangu na mpenz wangu bado ni changa, Nipo hapa na 'binti mkubwa' kwa sabab chochote kikitokea nina pa kutulia, siunajua nyie wanawake hamtabiriki, naelewa ninachokitaka labda mimi bado sijaamua tu kuoa kwa sababu uchunguzi wangu haujakamilika, sijajiridhisha bado yupi anaweza kuwa mke mwema.
 
''Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 9 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi'' Wakorintho 1-6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…