Nimetema kitu kinanuka sana je ni nini??

Nimetema kitu kinanuka sana je ni nini??

Hiyo kitaalamu inaitwa tonsils slits,.huwa Ni bactreria wanaolundikana kwenye kimeo,.na huwa Na rangi ya njano..na huambukizwa kwa njia ya mate,..dawa yake Ni maji ya uvugu vugu yaliyochanganywa na chumvi
Ikizid huleta harufu mbaya kwenye kinywa...
Hayo maji ya uvuguvugu yaliyochanganywa na chumvi unafanyeje?

Ongeza nyama kidogo.
 
Hizo ni fangusi zipo kwenye koo na level uliyo fikia si nzuri alafau choo chako kinakuwa cha ukoko au mda mwingi upata cho cha kuhara wakati umekula chakula safi maana hao wafangasi wanashuka mpaka kwenye utumbo.

Ulikuwa unapenda kunyonya sehemu za siri.au umeshea mswaki,kulana denda na mtu aliyepata huo ungonjwa.

Dalili fungua kinywa jiangalie kwenye kioo ukiona ulimi mwishoni ni mweupe sana kama mtu iliyekunywa maziwa .

Dawa watakazo kupa
FLUDERM (fluconazole usp) 150mg
Labstatin ORAL suspension 30ml
 
Back
Top Bottom