Nimetema kitu kinanuka sana je ni nini??

Nimetema kitu kinanuka sana je ni nini??

Heisenberg

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2017
Posts
1,688
Reaction score
2,982
IMG_6418.jpg

Wakuu juzi kati wakati nakohoa mara nikaona kama kitu kipo mdomoni nikakitema mkononi baada ya kukiangalia sukujua ni nini, nikakibonyeza kikapasuka na kinanuka sanaaaaa, je ni nini hiki??! ni ugonjwa ?? naomba kujua
 
View attachment 1718841
Wakuu juzi kati wakati nakohoa mara nikaona kama kitu kipo mdomoni nikakitema mkononi baada ya kukiangalia sukujua ni nini, nikakibonyeza kikapasuka na kinanuka sanaaaaa, je ni nini hiki??! ni ugonjwa ?? naomba kujua
Tonsillitis hiyo, nenda kwa daktari wa koo au wa kinywa na meno akuchunguze!
 
View attachment 1718841
Wakuu juzi kati wakati nakohoa mara nikaona kama kitu kipo mdomoni nikakitema mkononi baada ya kukiangalia sukujua ni nini, nikakibonyeza kikapasuka na kinanuka sanaaaaa, je ni nini hiki??! ni ugonjwa ?? naomba kujua
Tonsil stones hiyo.

Google uione.

Utakuwa una low immunity.

Yaani kinga zako za mwili ziko chini.

Itakuwa una maradhi yanakusumbua.

Nakushauri nenda kamuone daktari na upime vipimo vya damu.

Pole .
 
View attachment 1718841
Wakuu juzi kati wakati nakohoa mara nikaona kama kitu kipo mdomoni nikakitema mkononi baada ya kukiangalia sukujua ni nini, nikakibonyeza kikapasuka na kinanuka sanaaaaa, je ni nini hiki??! ni ugonjwa ?? naomba kujua
Ni normal hiyo mzee, tonsil stones .. mwili unanamna yake ya kujisafisha.. chill n enjoy life
 
Hiyo kitaalamu inaitwa tonsils slits,.huwa Ni bactreria wanaolundikana kwenye kimeo,.na huwa Na rangi ya njano..na huambukizwa kwa njia ya mate,..dawa yake Ni maji ya uvugu vugu yaliyochanganywa na chumvi
Ikizid huleta harufu mbaya kwenye kinywa...
 
View attachment 1718841
Wakuu juzi kati wakati nakohoa mara nikaona kama kitu kipo mdomoni nikakitema mkononi baada ya kukiangalia sukujua ni nini, nikakibonyeza kikapasuka na kinanuka sanaaaaa, je ni nini hiki??! ni ugonjwa ?? naomba kujua

Ni tonsils stone.
Inatokana na mkusanyiko wa mabaki ya chakula kwenye koo(pockets).

Bakteria huweza kuzaliana na kuyashambulia mabaki hayo na kutengeneza hicho ulichokiona. Wakati mwingine huweza kuwa sababu ya maambukizi ya koo mara kwa mara.

Suala kubwa ni usafi wa kinywa na koo kila baada ya chakula.
 
Tonsil stones hiyo.

Google uione.

Utakuwa una low immunity.

Yaani kinga zako za mwili ziko chini.

Itakuwa una maradhi yanakusumbua.

Nakushauri nenda kamuone daktari na upime vipimo vya damu.

Pole .
Usiache kupima na HIV mkuu.

Usiogope.

Bora ujue afya yako mapema na uwahi tiba kuliko ukachelewa na madhara yakawa makubwa sana.

Hizo tonsil stones haziji kwa mtu ambae ana kinga za mwili vizuri.

Ukiona zinakuja kwako manake kinga zako za mwili haziko sawa.

Mimi sio daktari.

Nenda kawaone Madaktari na wakupe vipimo ukavipime ila usiache cha HIV.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom